barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Hauko peke yako, kwangu mimi ananiboa, anaakti na kuongea kwa kutumia nguvu sana. Huwa simuelewi kwa nini anashout. Sehemu ya emotions, yeye anapiga bonge la sauti na sauti kavu, anaakti kama shamba boi huku kakali nywele hadi nyusi na mchubuo, hovyo kabisa!From my heart, simpendi Ray.
ndio mahana hata wewe hupendwi na jamii yako.From my heart, simpendi Ray.
Utaukosa ufalme wa mbinguniFrom my heart, simpendi Ray.
Tafadhari mkuu ingekuwa vyema kama ungeedit bandiko na kuliondoa hilo neno zeru zeru...hili neno huwa linawafedhehesha ndugu zetu wenye ulemavu wa ngozi....kwani limekaa kiuzalilishaji....alafu vile vile ule sio weupe bali ni ulemavu....Hapa baada ya kusikia hiyo taarifa nimewapigia sim Kisima waniletee kontena la maji na nimetoa oda nyingine walete semi wiki ijayo maana haya ya leo hayatamaliza wiki.
Nataka kua zeruzeru kwa kunywa maji, kwa siku napiga lita 40 za maji, sitaki mchezo kabisa, ikishindikana nahamia baharini ili kwa wiki tatu zijazo niwe zeruzeru kabisa.
Duu!Kakufanyaje.From my heart, simpendi Ray.
na kweli maana nayo maji ha ha haaaaa.Labda kama anakunywa maji ya betri
Hahahahah..Hapa baada ya kusikia hiyo taarifa nimewapigia sim Kisima waniletee kontena la maji na nimetoa oda nyingine walete semi wiki ijayo maana haya ya leo hayatamaliza wiki.
Nataka kua zeruzeru kwa kunywa maji, kwa siku napiga lita 40 za maji, sitaki mchezo kabisa, ikishindikana nahamia baharini ili kwa wiki tatu zijazo niwe zeruzeru kabisa.
Mimi nina mawazo tofauti kidogo. Hivi kama background yako ilikuwa kushinda na kutembea juani,then mambo yanabadilika unaanza kutembea na kukaa kwenye gari,ofisi,nyumba full AC unafikiri utakuwa na rangi ile ile ya kupigwa na jua??? Hamjaona watu wakitoka bongo na kwenda mtoni wakirudi wanakuwaje?Mabwawa yote ya kuogelea Tz yamejaa, maji kwenye ma bar na vibandani kwa mangi yananunuliwa kwa kasi ya ajabu.
Hii ni baada ya Ray Kigosi kusema weupe wake si wa mkorogo, bali unatokana na kunywa maji mengi tu.
Huyu jamaa sijuwi katumia sayansi gani.
Tumeagizwa upendo!From my heart, simpendi Ray.
Mzizi Mkavu ameshafulia? Una uhakika? Alishusha elimu hapa jinsi ya kuchukua watu misukule weee. May be misukule yake huko aliko imechachamaa... Ha ha haaaa!naona atakuwa amejiunga na tiba ya za dr.MshanaJR baada ya Mzee Mzizi Mkavu kufulia
Unamaanisha nini mkuu? Dah!Hivi nyie mnafikiri anakunywa maji haya mnayoyafahamu!!mtakunywa hadi mpasuke matumbo,muulizeni kwa kina!!