Ray Kigosi: Thus Why I'm So Wonders

King Kong III

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2010
Posts
56,205
Reaction score
79,515
Umofia kwenu wana JF,

Ray ameshangazwa sana na baadhi ya wasanii kama kina JB na wengine kuinua sanaa ya sinema, tofauti na alivyotegemea. Namnukuu "Thus why I'm so wonders, yaani nimeshangaa"
 
Hahahaaa.. Ndio "the greatest" wa bongo movie huyo..
 
Cha kumsaidia ni kuelezea je alitakiwa asemaje? Ili si yeye tu, wengi tujifunze.
 
He didnt go to school as much as u, its not fair to hiss him. His acquisitive should be encouraged, English is equidistant to education. Sasa akae kimya au aache kabisa kuigiza, sio jambo la kucheka.

Kama ni hivyo hana haja ya kutumia lugha ambayo haijui! Mbona Mondi hajakwenda shule lakini anabomoka umombo wa ukweli?
 
Ni bora kuongea lugha unayoijua kuliko kujifanya unajua kumbe hujui
 
Kama ni hivyo hana haja ya kutumia lugha ambayo haijui! Mbona Mondi hajakwenda shule lakini anabomoka umombo wa ukweli?

Lini huyo Mondi aliongea Kiingereza cha ukweli? Wabunge wangapi hawajui Kiingereza?
 
Ray na nuhu mziwanda hawana tofauti...
Teh Teh kwakweli Mwl napinga kabisa Nuhu ni mtupu sana...hakika umenifanya nimkumbuka ex wake alisema " i love is my country "

Hivi umejaribu kufikiri ni jinsi gani watoto wa shilole wanateseka kwa kukosa wa kucheza nao?
 
Teh Teh kwakweli Mwl napinga kabisa Nuhu ni mtupu sana...hakika umenifanya nimkumbuka ex wake alisema " i love is my country "

Hivi umejaribu kufikiri ni jinsi gani watoto wa shilole wanateseka kwa kukosa wa kucheza nao?

I love is my country na I am so wonders wote sawa tu ha ha ha
na kuna siku alisema anamshukuru " my gelo friend" ungesikia ungecheka
si bora kuongea kiswahili tu
 
I love is my country na I am so wonders wote sawa tu ha ha ha
na kuna siku alisema anamshukuru " my gelo friend" ungesikia ungecheka
si bora kuongea kiswahili tu
Teh Teh hii ya my gelo friend niliishuhudia kwakweli nilicheka sana ..sijui wanafanya kusudi?
 
kiingereza cha sudan hiki! ha ha ha! haya wameyataka kina masanja! mwaka fulan wakati Kanumba akiwa hai waliji enroll na English course the comedy wakawatoa wapo darasani kesho yake waliacha hadi leo kiinglish kwa ray na johari ni kama maneno ya kichina.
 
Teh Teh hii ya my gelo friend niliishuhudia kwakweli nilicheka sana ..sijui wanafanya kusudi?
Yani nlicheka mie ha ha ha sio makusudi mbwembwe za kuongea kizungu wakati hakipandi yani nlicheka mimtu ya miaka 40 huko eti inaitana gelo na boy friend
 
Yani nlicheka mie ha ha ha sio makusudi mbwembwe za kuongea kizungu wakati hakipandi yani nlicheka mimtu ya miaka 40 huko eti inaitana gelo na boy friend
Hadi leo huwa siamini kama kweli alikuwa serious kabisa...teh teh eti gelo friend..
 
Lugha ya malkia inawapa mshawasha si wasome Tuition
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…