Basi tuletee ubuyu wako Nifah am waitingUjinga ujinga tu,wala ubuyu wao hauvutii.
Sometimes anajitahidi kuchekesha basi ndo anakuwa kituko zaidiukiona mwanaume umeanza kujichubua jua unakasoro kubwa sana.
Mie jaman Rey ananikeraga sana kwa sauti yake ya kuigizia jaman ni mbaya acha tu yaani anaonekanaga kabisaa kwamba ni maigizo
hivi huwaga huku kwetu hakuna watu wanaowamoderate kwanza?Sometimes anajitahidi kuchekesha basi ndo anakuwa kituko zaidi
Ye anadhani huruma ya raia itamsaidia labda...Mi nadhani njia nzuri ni kufwata utaratibu ili upate haki yako zen baadae kama utataka kumuanika tapeli hadharani watu wamjue unaweza kufanya hivyoLaw of contract inahusika atuombe ushauri kama huuelewi pa kuanzia ila media ni kiki tuu Kama sio kupandishana na kushushana.
Sasa yeye ndo Director,script writter,producer na main actor..Utamwambia nn akusikilizehivi huwaga huku kwetu hakuna watu wanaowamoderate kwanza?
mie huwaga sielewi kwann hanaga hisia za kikweli yaan yy kila kitu kwake ni fake hadi ngozi yake ni fake
hatukatai mtu kuwa multi disciplined, but you can be it in the same field.Sasa yeye ndo Director,script writter,producer na main actor..Utamwambia nn akusikilize
Hilo ndo moja ya tatizo kwenye tasnia yetu ya maigizo..Mtu mmoja anataka kufanya kila kitu yeye..Halafu sometimes unakuta movie imebeba mastaa wakubwa kibao lakini still kuna makosa madogo madogo mengi tu..Mtu unajiuliza hivi uwa hawakosoani wakiwa huko location?..Au level yao ya kufikiri inafananahatukatai mtu kuwa multi disciplined, but you can be it in the same field.
like uwe mwl unafundisha masomo yote wewe mwenyewe?
multidiscipline ina involve different fields, like ni muigizaj lkn ni manya biashara, ama ni mwalimu, ama hata ni mhasibu lkn kwenye field moja uwe wewe ndo kila kitu, huo ni uongo
ujinga ndio sababisho na hatukubal kwamba ni wajinga so tujifunzeHilo ndo moja ya tatizo kwenye tasnia yetu ya maigizo..Mtu mmoja anataka kufanya kila kitu yeye..Halafu sometimes unakuta movie imebeba mastaa wakubwa kibao lakini still kuna makosa madogo madogo mengi tu..Mtu unajiuliza hivi uwa hawakosoani wakiwa huko location?..Au level yao ya kufikiri inafanana
Kwanza hajui kuvaa uhalisiaMoja ya waigizaji wasionivutia Ray ni mmoja wapo..
Ina mana huyo Mzee ray hajaoa hadi sasa? kwa hiyo anajiona kijanahivi ray mzima kweli,kumbe kanumba ndio alikua anampandisha chati,alivyojikoboa sasa wanashindana na hawara yake kujikoboa,kaitwa na nani kibamia?
Teh Teh...huyu jamaa huwa anapiga makelele tuu kwenye muvi zake..Hongera zao wanaangalia movie za ray...na kuzipenda.....
Ana matusi sana kwenye movie zake...ukiona mwanaume umeanza kujichubua jua unakasoro kubwa sana.
Mie jaman Rey ananikeraga sana kwa sauti yake ya kuigizia jaman ni mbaya acha tu yaani anaonekanaga kabisaa kwamba ni maigizo
Ina mana huyo Mzee ray hajaoa hadi sasa? kwa hiyo anajiona kijana
Sugu baba Sasha au?Sugu toka ajichubue namfananisha na kinadada...
Hao waswahili wa pemba..Ye anadhani huruma ya raia itamsaidia labda...Mi nadhani njia nzuri ni kufwata utaratibu ili upate haki yako zen baadae kama utataka kumuanika tapeli hadharani watu wamjue unaweza kufanya hivyo