Justin Dimee
JF-Expert Member
- Apr 17, 2012
- 1,146
- 248
ananizungusha kweli mara yes mara no eti kanipa zoezi nimwambie i love you kwa lugha 50 jmn si kutesana huku
HAYA SASA MUONEKANO MUPYA WA vicent kigosi hahaha kweli age is just a number!!!!!!!!!!!!
http://2.bp.blogspot.com/-ue75dKt0frs/UoZCPcvJ_JI/AAAAAAAAolU/DZ7irZR9VLM/s1600/1.jpg
jamani Lady doctor pole umeongea maneno ya huzuni mno,hajitambui kijana huyu mweeeWe Ray wewe mbona umekuwa mbaya hivyo? Na hayo matatoo kama jambazi na sura ya kishoga, umeniboa mwenzio
Hapa naona mnamchamba huyu bwana kaka kisa tu kachora tatoo.... Jamani hizi mambo mengne ni photo labs na non-permanent tatoos... Hizi tatoo sio za muda mrefu naona Ray alitaka kuwapa watu maneno ya kuongea tu.... Hayo tu
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
aisee hivi huuyu jamaa kaamua kuwa shoga mazima?
huyu ni msanii,huyu ni msanii tena kioo cha jamii...
jamii ya kitanzania. hapo kesha convert zaidi ya vijana 200 wasiokuwa na akili, wale waigaji kama yeye alivyoiga
hivi wanasikiaga raha watu wakiwasena eeh
HAYA SASA MUONEKANO MUPYA WA vicent kigosi hahaha kweli age is just a number!!!!!!!!!!!!
http://2.bp.blogspot.com/-ue75dKt0frs/UoZCPcvJ_JI/AAAAAAAAolU/DZ7irZR9VLM/s1600/1.jpg
jamani Lady doctor pole umeongea maneno ya huzuni mno,hajitambui kijana huyu mweee
dada ukimruhusu mpwa wangu aingie kwenye huo uchafu sitakubali walahi
Mwanzo wa ushoga