Naftari Erasto
Senior Member
- Jul 22, 2016
- 108
- 50
Kwani nani kasema video ni mbaya?Hata mimi nimeipenda video isipokuwa sehemu moja tu ambayo wema alikosekana wakalazimika kupachika kipande cha clip kilichorekodiwa kwa simu walichowahi kurekodiwa Ray na Wema!Usilazimishe kutafuta views kwa mtindo huu
Kuna watu humu uelewa ni tofauti anatoka hapa anaanza kupondea video ya MTU kumletea sifa mbaya. Hawa wasanii bado wachanga tuwasapoti na siyo kwa kuanza kuwapa mizigo ya tuhuma zisizo na kivhwa wala miguu.
Video ni nzuri sana kiukweli nanimeipenda sana. Big up sana Raymond
Kwani nimefanyeje tena ndugu😀 sasa ndio umefanya kitu gan mkuu?
Ila tatizo kuna kipande wameweka clip iliyorekodiwa kwa simu,kipande kile anachoonekana Ray na Wema!Otherwise video ni nzurivideo nmeipenda
naona ilikuwa kazi kumpata wema maana kahamia arusha kile kipande wamekifix kuleta uhalisiaIla tatizo kuna kipande wameweka clip iliyorekodiwa kwa simu,kipande kile anachoonekana Ray na Wema!Otherwise video ni nzuri
Yeah!naona ilikuwa kazi kumpata wema maana kahamia arusha kile kipande wamekifix kuleta uhalisia