princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 9,245
- 18,347
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]watu wakorofiAbdu kiba vipi? Au anasubir tunzo za Kilimanjaro
Yeye mwakanibarakah da prince vipi?
Watano kaka kuna v mtonyo kiba navy kenzo rayvanny na domoHongera dogo... yaani siku hizi kama ndoto kuona Watanzania wanazidi kuwa nominated kwenye tuzo kubwa kabisa Afrika! Tutaacha tu kumuheshimu Chibu lakini kiukweli jamaa kufungua milango ya sanaa ya Tanzania kufahamika nje ya Tanzania kwa mapana na marefu. This means, Tanzania kuna wasanii watatu kwenye tuzo za MTV!!!
Sidhani kama kuna tatizo ikiwa yeye ameona hakuna tatizo juu ya alichoandika, peacepeterchoka unamskia huyu?
Abdu kiba hana lolote na lile li-sauti lake kama anakoroma kama chura ..ladda ajiunge na wasafi Simba ampige msasa..Abdu kiba vipi? Au anasubir tunzo za Kilimanjaro
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Abdu kiba hana lolote na lile li-sauti lake kama anakoroma kama chura ..ladda ajiunge na wasafi Simba ampige msasa..
Aisee! Nilisahau kuhusu Navy Kenzo na sikuwa na uhakika kuhusu V Mavumba! Haijawahi kutokea hii... bila shaka sio Tanzania tu bali nchi yoyote ya Afrika Mashariki. I wish siku moja tukasimama together as one.Watano kaka kuna v mtonyo kiba navy kenzo rayvanny na domo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Abdu kiba hana lolote na lile li-sauti lake kama anakoroma kama chura ..ladda ajiunge na wasafi Simba ampige msasa..
Ila kawa nominated...!!ni hatua kubwaNadhani kaenda kushiriki na sio kushindana.
Best upcoming artistDudu baya hayumo
Na yomoto band pia wapoWatano kaka kuna v mtonyo kiba navy kenzo rayvanny na domo
Baby bilinge bayoyoAbdu kiba hana lolote na lile li-sauti lake kama anakoroma kama chura ..ladda ajiunge na wasafi Simba ampige msasa..
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Anajijua bila sauti sol , mtv wangeisikia kwenye bomba