joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
+255 718515171 WhatsApp nitumie fasta na mim nitaziweka hapa.Uongozi wa wcb umempiga pini kijana raymond kujenga kanisa mkoani mbeya
Alikuwa anataka kufanya hivo kama sadaka yake hasa baada ya kuona mondi pia anajenga mtwara
Sallam na tale wanasema atagawa mashabiki kujenga kanisa najaribu ku attach audio za mazungumzo zinagoma kama kuna mtu anaweza anipe namba yake nimtumie
Numby mbona mond kaenda kujenga mtwara badala ya kuchangia tandale alikosomea madrasa? Kwan mond kujenga huo msikiti anataka kuswalisha?
Wasilete udini kwenye mambo yao.
Kama ni kweli wamefanya hivyo sio fair, na kama mleta mada ni muongo basi heri.
we konyo kwelUongozi wa wcb umempiga pini kijana raymond kujenga kanisa mkoani mbeya
Alikuwa anataka kufanya hivo kama sadaka yake hasa baada ya kuona mondi pia anajenga mtwara
Sallam na tale wanasema atagawa mashabiki kujenga kanisa najaribu ku attach audio za mazungumzo zinagoma kama kuna mtu anaweza anipe namba yake nimtumie
hahahaha mi mafia wwMpe namba mkuu akudake..
Machok.o utawajua tu..Uongozi wa wcb umempiga pini kijana raymond kujenga kanisa mkoani mbeya
Alikuwa anataka kufanya hivo kama sadaka yake hasa baada ya kuona mondi pia anajenga mtwara
Sallam na tale wanasema atagawa mashabiki kujenga kanisa najaribu ku attach audio za mazungumzo zinagoma kama kuna mtu anaweza anipe namba yake nimtumie
duuuh!!Uongozi wa wcb umempiga pini kijana raymond kujenga kanisa mkoani mbeya
Alikuwa anataka kufanya hivo kama sadaka yake hasa baada ya kuona mondi pia anajenga mtwara
Sallam na tale wanasema atagawa mashabiki kujenga kanisa najaribu ku attach audio za mazungumzo zinagoma kama kuna mtu anaweza anipe namba yake nimtumie
Acha udini wewe! Kila mmoja anafahamu Kifesi alikuwa even na WCB hadi siku alipojitia kimbelembele cha kuelezea mahusiano ya bosi wake mitandaoni!!! Hivi mtu mwenye akili timamu anaweza kukosa mahusiano ya bosi wake kupitia Instagram? Hapo anapigwa chini; unataka kuaminisha eti amepigwa chini kwa sababu ni Mkristo!hawa wcb hawako fair kabisa i believe muda utaongea tu. katoka kifesi na mavoko kwa upuuzi huu huu wa kidini ila watu bado hawaamini