Rayvanny ana kipaji konki, hajaniangusha

Rayvanny ana kipaji konki, hajaniangusha

Slowly

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2016
Posts
10,589
Reaction score
35,268
Kila siku huwa nasema Vannyboy ana kipaji konki sana kwa nyimbo za kubembeleza , na hivyo kwenye hiyo angle inabidi asimamie ukucha kweli kweli, Hana mpinzan right now, Ngoma kama KELEBE inabd awe anatupa kama bonus track ...

Goma la KISS akiwa na Bahati Kenya kaua Sana , respect to director mzava mnyama.

Sema Simba wa Tandale naye katupia KAMATA video, daah wacha nikamalizie bando langu
IMG_20210629_144728.jpg
 
Nilielewa kipande chake tu kwenye remix ya Jeniffer na Guchi
 
Ilikuwa safari ndefu yenye mateso
Machozi, mizigo, vikwazo
Ila yote umenitua
Naomba penzi letu lisife kesho
Ukanipa presha, mawazo
Chonde mama utaniua
Na vile hujui kununa, fundi wa kudeka
Hata sijakutekenya unacheka
Ooh, tambua ushaniteka
Hata bila chakula nanenepa, my love
Salama nikiwa na wewe
Hata kama nina shida nasahau
Sura kama malaika
Na wala hauringi kwa dharau
Lawama acha nipewe
Nitoke duniani angalau
Kuliko ukanyanyasika
Hilo mpenzi usahau
Me oh, oh, oh (ah eh)
Mi amor (ah eh)
My love (ah eh)
Te amo (ah eh)
I love you
I love you
Baby, I love you
I love you
I love you (minakupenda sana)
I love you (usiniache mama)
Baby, I love you (me oh)
I love you
Sura ya mama, umbo lawama
Una ya bia miguu
Unanichanganya ukiinama naangalia tattoo
Nipakulie chakula mama sikomi
Asubuhi, mchana mpaka jioni
Michezo unaijua mama msomi
Pini kitovu, kifua na sikioni
Salama nikiwa na wewe
Hata kama nina shida nasahau
Sura kama malaika
Na wala hauringi kwa dharau
Lawama acha nipewe
Nitoke duniani angalau
Kuliko ukanyanyasika
Hilo mpenzi usahau
Me oh, oh, oh (ah eh)
Mi amor (ah eh)
My love (ah eh)
Te amo (ah eh)
I love you
I love you
Baby, I love you
I love you
I love you
I love you
Baby, I love you
I love you
 
Kula siku huwa nasema Vannyboy ana kipaji konki sana kwa nyimbo za kubembeleza , na hivyo kwenye hiyo angle inabidi asimamie ukucha kweli kweli, Hana mpinzan right now, Ngoma kama KELEBE inabd awe anatupa kama bonus track ...

Goma la KISS akiwa na Bahati Kenya kaua Sana , respect to director mzava mnyama.

Sema Simba wa Tandale naye katupia KAMATA video, daah wacha nikamalizie bando langu
View attachment 1834553
Ni motooo..
 
Back
Top Bottom