Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 2,971
- 9,437
Mpe hi PaulaNimekusikia
Huyo uliyemjibu ndo Paula mwenyewe.Mpe hi Paula
Ngomaa kali sana hyo aisee mjubaaa,I mic u ,zuchu kaimba ,chui pia kaimbaaChui ametoa ngoma mpya inaitwa I miss you ft Zuchu kaiskilize ni kali kwa ajili yenu mashabiki oyaa oyaa.
Zile ngoma kwenye ep ya new chui hauwezi kabisa kuzielewa kolo kama wewe zina target market yake.
Unamzungumzia Rayvanny yupiRayvanny ni moja ya wasanii wa bongofleva waokuwa wanafanya vizuri sana kwenye kiwanda chetu cha muziki.
nakung'ata sikio ray muziki unaoimba sasaivi unakupoteza,umetoa nyimbo zaidi ya tano hakuna hata moja iliyo hiti hii siyo kawaida yako.
UMepotea kabisa kwenye platform mbalimbali ambazo ulikuwa unakimbiza awali, Kipaji unacho nguvu unazo kazi kwako kukiendeleza.
Hata asipoimba ataimbwaKwani bado anaimba??
Pale ka_dem ka dablyu sibii kanapoamua kuwatetea basha zake.Chui ametoa ngoma mpya inaitwa I miss you ft Zuchu kaiskilize ni kali kwa ajili yenu mashabiki oyaa oyaa.
Zile ngoma kwenye ep ya new chui hauwezi kabisa kuzielewa kolo kama wewe zina target market yake.
Uzi wako umevamiwa na timu panya, kazi unayo.Rayvanny ni moja ya wasanii wa bongofleva wanaokuwa wanafanya vizuri sana kwenye kiwanda chetu cha muziki.
Nakung'ata sikio Ray muziki unaoimba sasahivi unakupoteza, umetoa nyimbo zaidi ya tano hakuna hata moja iliyo hiti hii siyo kawaida yako.
Umepotea kabisa kwenye platform mbalimbali ambazo ulikuwa unakimbiza awali.
Kipaji unacho nguvu unazo kazi kwako kukiendeleza.
Rayvanny ni moja ya wasanii wa bongofleva wanaokuwa wanafanya vizuri sana kwenye kiwanda chetu cha muziki.
Nakung'ata sikio Ray muziki unaoimba sasahivi unakupoteza, umetoa nyimbo zaidi ya tano hakuna hata moja iliyo hiti hii siyo kawaida yako.
Umepotea kabisa kwenye platform mbalimbali ambazo ulikuwa unakimbiza awali.
Kipaji unacho nguvu unazo kazi kwako kukiendeleza.
Tupe video vinazofanya vizuri zaidi ya WCB? Ili tuunge mkono hoja yakoKwa ujumla WCB inahaha. Hata videos zao ziko chini sana siku izi