Rayvanny huyu mrembo imekuwaje tena

rayvanny usilaze damu papuchi ya bure kabisa hiyo
inaonekana mama ana mzigo ... Ugonjwa wangu wa siku zote
Ha ha ha ha fomu za kujiunga WCB zinapatikana wapi maana naona pale wana nyota ya watu wazima tu
yaani ningekuwa ray vanny ningemtia mimba kabisaa huyo demu
anaenda kumsmash rayvan .... kama smash potatoes ha hahahahahahaha
Kwanza huyo madame wa kutoka nchi gani kwanza tujue..asije akawa wa kutoka jirani maana ni wezi wale asije aka umia mtu hapa.
ANATAFUTA KIKI TU HUYO bahati mbaya kiki zimeisha zipo brake tu. Thigawi kiki aithee
 
Wcb kwa kukubali kubebendwa hawajambo
 
Utasemaje demu sio mzuri ilihali umeambiwa ni made in kenya? Sio rwanda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…