RAYVANNY kashindwa hata kuiga wanavyofanya WCB yaani Label yake imelala Yooo Next Level Music kama vile sio Label Page yao imekaa ovyo ovyo

RAYVANNY kashindwa hata kuiga wanavyofanya WCB yaani Label yake imelala Yooo Next Level Music kama vile sio Label Page yao imekaa ovyo ovyo

Mayunga234

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2017
Posts
1,725
Reaction score
1,995
Rayvanny nae kazubaa sana anashindwa kuiga kama wanavyofanya WCB wako systematic in everything
Label ya Next level Music haieleweki kabisa ni kwamba hana strategy za kueleweka

Ukingia kwenye Official Page yake ya Instagram imekaaa hovyo huwelewi ni official page ya Label au vipi kwanza admin wa hiyo page ni mzembe hayuko on time kabisa inaweza kupita siku hakuna kilichopostiwa

Rayvanny acha unyaki tafuta IT wa kueleweka awe ana run hiyo page ya NLM then hata bio iandikwe kitu huelewi nini wanachofanya

Rayvanny punguza uzembe chamngamka nenda kisasa hata kutafuta mtu wa kuendesha page unashindwa

Caption zinazoandikwa kwenye post za hiyo page hazieleweki hivi kwel umekosa mtu mjanja wa kuendesha Account ya Instagram

Rayvanny kuna mda umekaa kizamani sana yani upo upo ilimrad siku ziende

Mpiga picha tu anapiga picha chafu

Rayvanny kuvaa tu haelewek anavaaa hovyo sana hivi anashindwa kucopy kwa kina wizkid,davido na diamondplatnumz sijui rayvanny anavaaga maronya ya wapi

Msanii Mpya wa NEXTLEVELMUSIC huyu macvoice na ndo yule yule anatuvalia pullneck utazani pastor anaenda kuhubiri. Macvoice anavaa hovyo sana utazani sio msanii anavaa kama anaenda kupata kipaimara.

Next level Music badilikeni kwenye swala zima la Mavazi na ujanja pia acheni kuzubaaa zubaaaa
 
Hivi wewe ni mwanamke au mwanaume maana upo vizuri kuchamba
 
Kivuli cha Wasafi hakiwezi kumtoka kamwe
 
Rayvanny nae kazubaa sana anashindwa kuiga kama wanavyofanya WCB wako systematic in everything
Label ya Next level Music haieleweki kabisa ni kwamba hana strategy za kueleweka...
Jina mayunga ni tabora nyamwezi?
 
Ukiachana na page na pamba hii style alioingia nayo uyu MAKIVOISI imemkataa kabsaa bora angeingia na wimbo mmoja mkaliiiii ukakaa maskioni mwa watu baada ya miezi kadhaa anashusha tena mkwaju mkaliiii ivyo ndo wanapataga mashabiki ila hii kuingia mzima mzima yaani kuingia na EP nzma miziki kama 5+ kwa Underground lazima kiumane ikitokea ngoma mbili tatu sio kali wananchi wataconclude kwamba amna msanii apo tumepigwa enewei mawazo ya mlevi mmoja wa gongo kali
 
Rayvanny nae kazubaa sana anashindwa kuiga kama wanavyofanya WCB wako systematic in everything
Label ya Next level Music haieleweki kabisa ni kwamba hana strategy za kueleweka

Ukingia kwenye Official Page yake ya Instagram imekaaa hovyo huwelewi ni official page ya Label au vipi kwanza admin wa hiyo page ni mzembe hayuko on time kabisa inaweza kupita siku hakuna kilichopostiwa

Rayvanny acha unyaki tafuta IT wa kueleweka awe ana run hiyo page ya NLM then hata bio iandikwe kitu huelewi nini wanachofanya

Rayvanny punguza uzembe chamngamka nenda kisasa hata kutafuta mtu wa kuendesha page unashindwa

Caption zinazoandikwa kwenye post za hiyo page hazieleweki hivi kwel umekosa mtu mjanja wa kuendesha Account ya Instagram

Rayvanny kuna mda umekaa kizamani sana yani upo upo ilimrad siku ziende

Mpiga picha tu anapiga picha chafu

Rayvanny kuvaa tu haelewek anavaaa hovyo sana hivi anashindwa kucopy kwa kina wizkid,davido na diamondplatnumz sijui rayvanny anavaaga maronya ya wapi

Msanii Mpya wa NEXTLEVELMUSIC huyu macvoice na ndo yule yule anatuvalia pullneck utazani pastor anaenda kuhubiri. Macvoice anavaa hovyo sana utazani sio msanii anavaa kama anaenda kupata kipaimara.

Next level Music badilikeni kwenye swala zima la Mavazi na ujanja pia acheni kuzubaaa zubaaaa
Dogo si mwanamuziki na wala si mbunifu, mnampa majukumu asiyoweza....mtamuua bure kwa pressure, mwacheni tu ale uroda na Kajala na mtoto wake.
 
Rayvanny yupo sawa mpaka sasa.

Anakuza msanii hatakiwi kujidanganya wala kuwa na pupa ya mafanikio.

He should trust the process, ndio ataona matunda ya kweli ya msanii wake.
 
Back
Top Bottom