Rayvanny kawaumiza Sana Wasafi

Hakika, amenena vyema... lakini ndiyo ishakua hivyo...
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkiwadanganya watu wa FB inatosha, vanny yupi mwenye pesa chafu?? Nacheka km mwehu lol.
Hawa wasani sahv wanajitahidi wana pesa hata ss raia hatuwagusi ujue
Wanatengeneza hela sahv,mambo ya digital platform imewasaidia sana

Ova
 
Baki hivyo hivyo haina shaka kwa sisi tunaomfahamu haitupi shida wewe kupinga coz haisaidii kitu
Nitoleee upuuzi wako, vanny hana pesa chafuuu, khaaaah.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hawa wasani sahv wanajitahidi wana pesa hata ss raia hatuwagusi ujue
Wanatengeneza hela sahv,mambo ya digital platform imewasaidia sana

Ova
Hata km sio kwa vanny, tusidanganyane hapaaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…