Hapa tayari umeshapanic 😂Yaani mkeo na wewe wote ni wanawake tofauti iliyopo ni mmoja tu kati yenu hazioni siku zake.
Hawa wasani sahv wanajitahidi wana pesa hata ss raia hatuwagusi ujue[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkiwadanganya watu wa FB inatosha, vanny yupi mwenye pesa chafu?? Nacheka km mwehu lol.
Nitoleee upuuzi wako, vanny hana pesa chafuuu, khaaaah.Baki hivyo hivyo haina shaka kwa sisi tunaomfahamu haitupi shida wewe kupinga coz haisaidii kitu
Hata km sio kwa vanny, tusidanganyane hapaaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hawa wasani sahv wanajitahidi wana pesa hata ss raia hatuwagusi ujue
Wanatengeneza hela sahv,mambo ya digital platform imewasaidia sana
Ova