University_Promo
JF-Expert Member
- Sep 29, 2018
- 749
- 661
Msanii anayetoka katika lebo ya Wasafi ,Rayvanny amachaguliwa katika tuzo za STARQT AWARDS 2019 za south africa,katika kipengele cha BEST MALE ARTIST.
Na ni msanii pekee yake kutoka Tanzania ambaye amechaguliwa katika tuzo hizo.
Tumpigie kura tuzo ije utanzaniani.
Na ni msanii pekee yake kutoka Tanzania ambaye amechaguliwa katika tuzo hizo.
Tumpigie kura tuzo ije utanzaniani.