RayVanny: Nitafanya Kolabo na Ali Kiba

RayVanny: Nitafanya Kolabo na Ali Kiba

Hana uwezo wakufanya chechote kile bila ruhsaa ya uongozi wa WCB
 
sifikirii kama dogo akifanya na ali kiba. bifu la kiba libaki la wao wawili lisiwadhuru mpaka wengine.
 
Kama kawaida yao bila kumtaja taja King wanaona hawapati Kiki kabisa.

akacheze anapochezaga.
 
Back
Top Bottom