RayVanny: Nitafanya Kolabo na Ali Kiba

Afanye naye collabo itamsaidia kumpa Fans wapya na Nyimbo itafika mbali zaidi
 
Yaani kwenye story za Chris Brown na Drake unamuweka WizKid? You're retarded!
Sikuwahi kutegemea kama we jamaa hujui chochote kuhusu Muunganiko wao.

Labda itakuwa umarekani umekujaa ila Drake kafanya ngoma na Wizkid imepenya mpaka Grammy....Chris Brown anapiga Tour na Wizkid na karibu show zake zote za Africa huwa anataka na Wizkid aalikwe na wana ngoma ya pamoja.

Sa sijui ulitaka nitoke story za Mbwana Samatta.
 
Rayvan ni zaidi ya mapimbi wote wcb, siwakubali "wachawi" ila dogo anajua
 


Tatizo lenu wabongo mnapenda story za kujiaminisha. Chris Brown kasema lini anataka tour zake Africa WizKid awepo? Au we nani kakwambia?
 
Napenda sana msanii mwenye mawazo ya mbali tena yasiyo na chuki ya kuambukizwa!! Km umeliona hilo basi unaanza kukomaa kimuziki dogo. Fanya kazi dogo usikubali kupandikizwa chuki kwa maslahi ya mtu mwingine.
 
Tatizo lenu wabongo mnapenda story za kujiaminisha. Chris Brown kasema lini anataka tour zake Africa WizKid awepo? Au we nani kakwambia?
Kwani akisema lazima wewe umsikie?!

Vitu vingine vipo wazi...Kila mara Wizkid akiwa America anaonekana na Chris na Chris akija Africa anapiga show na Wizkid.

Sasa we kaa hapo subiri umsikie Chris mwenyewe maana inaonyesha kusoma hujui na hata picha huoni.
 
Napenda sana msanii mwenye mawazo ya mbali tena yasiyo na chuki ya kuambukizwa!! Km umeliona hilo basi unaanza kukomaa kimuziki dogo. Fanya kazi dogo usikubali kupandikizwa chuki kwa maslahi ya mtu mwingine.
Kwahiyo kwa upeo wako ulivyo na mapungufu ya kumwaga,unaona hilo jambo likifanyika basi kajiamulia yeye mwenyewe,bila baraka ya "bosi wake" ambae ni DIAMOND PLATNUMZ ??? Kwa taarifa yako tu nikuambie,hata haya mambo ya yeye kumtajataja Kiba keshapewa baraka na viongozi wake na pia ni sehemu ya mpango mkakati wa WCB,sasa wewe endelea kumchukulia poa DIAMOND kwa chuki zako bila kumjua huyo mtu yuko vizuri kiasi gani ktk biashara ya hili game na keshaanza kuwateka. Au unadhani ule wimbo wake huyu dogo wa natafuta kiki alimtaja kiba kibahati mbaya,na kwamba viongozi wake hawakuona au hawakujua ????
 
Huyo dogo wasafi ye Ndo kichwa hakuna wa kunibishia na mziki wa kiba anauheshimu sana sasa dogo anataka mkali wake kiba msimtishie
Ila jua kuwa rimoti kaishika DIAMOND,usidhani kuwa anayofanya RAYVANNY anajiropokea,kama ulikuwa hujui basi ujue "master mind" wa huo mchezo ni DIAMOND.
 
Kama kawaida yao bila kumtaja taja King wanaona hawapati Kiki kabisa.

akacheze anapochezaga.
WCB awawezi kutafuta kiki kwa "king anayelilia tuzo" labda ungesema kuwa wanataka "kumfukia" kwa kumtumia RAYVANNY.
 
Diamond katoa nyimbo zaidi ya tatu na zote zina buma ndani ya week moja .Salome umekaa kwenye chart week 2 kidogo umekaa mwezi na make me sing imeboom na hii marry you ndo imepotelea studio .Ali kiba katoa wimbo mmoja wa aje kapata tuzo 13 za kimataifa na 4 za Tanzania.ujanja ujanja vs muziki mzuri .u don't need to be a graduate kuelewa nani fundi. Mwanamziki mzuri ni Yule anayeweza kutoa wimbo unaweza kudumu sokoni miaka na miaka. Jaribu kuangalia nyimbo za kina marijan Rajab toka 1970's hadi leo nyimbo zinapendwa.so Ali kiba anatunga nyimbo zinazodumu sana kuliko hizo bubble gum muziki za wasafi
 
Inawezekana dogo anamhusudu sana kiba
Mashabiki wa kiba mngekuwa vizuri kichwani,nadhani mngemuopa sana huyu dogo kuliko msanii yeyote wa WCB,ila kwa vile wote kichwani bure basi "vita" inaenda kuisha kiulaini sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…