Naona watu wanajiuliza hivi kati ya hawa wawili rayvan na harmonize nani yupo juu kimafanikio au kwamana ya utajiri?
Coz namuona mwijaku leo kwenye radio kataja wasanii wanamuziki ambao ni matajiri diamond, alikiba, harmonize na jux hivi ni kweli hawa ndio wanaongoza kwa utajiri?
Na ukimchunguza mwijaku hao ni watu wake ingawa diamond hamfagiliagi so mwasemaje coz mimi binafsi naona wa kwanza ni mondi na wapili ni rayvan ingawa hapendi showoff coz juzi kanunua ghorofa tamu kinoma ila kapiga kimyaa, harafu kuna nandy yupo vizuri sana
Coz namuona mwijaku leo kwenye radio kataja wasanii wanamuziki ambao ni matajiri diamond, alikiba, harmonize na jux hivi ni kweli hawa ndio wanaongoza kwa utajiri?
Na ukimchunguza mwijaku hao ni watu wake ingawa diamond hamfagiliagi so mwasemaje coz mimi binafsi naona wa kwanza ni mondi na wapili ni rayvan ingawa hapendi showoff coz juzi kanunua ghorofa tamu kinoma ila kapiga kimyaa, harafu kuna nandy yupo vizuri sana