sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 3,344
- 9,066
Pesa za watu ndio zinazokupa wewe maumivu. Umeishia kuwa na roho mbaya na watu kama wewe wanakufaga makapuku.Wewe unayefuatilia mali za wanaume wenzako ndio choka mbaya,
Mwanaume unashupaza mishipa ya shingo kusifia mali za wenzako?
Huu uchawa unawapotezea sana muda,fainali uzeeni usije ukasahau hilo Mr chawa wewe.
Mamake ni mlokole masalia. Amedanganywa mwanae yupo freemason, hata ukimuwekea nyimbo za mwanae ugomvi wake ni nextlevel. So hapokei hela ya Ray.Mbn wanasema Mama ake anauza mboga mboga
Chawa mpiga zumari endelea kusifia wanaume wenzako,nyie machawa ndio hua machoka mbaya,unapata hela kwa kujikomba kwa mtu!! Unakaza tako kubishana na watu JF kisa kujikomba kwa mwanaume mwenzio!Pesa za watu ndio zinazokupa wewe maumivu. Umeishia kuwa na roho mbaya na watu kama wewe wanakufaga makapuku.
Mr Chawa una info kama zote eeeh! Unapata wapi huo muda wa kufuatilia maisha ya wanaume wenzio?Pesa za watu ndio zinazokupa wewe maumivu. Umeishia kuwa na roho mbaya na watu kama wewe wanakufaga makapuku.
Maisha nayoishi hizi habari zinanifata zenyewe.Mr Chawa una info kama zote eeeh! Unapata wapi huo muda wa kufuatilia maisha ya wanaume wenzio?
Mwijaku sasa mtu anayemchukia namba moja ni Rayvanny kwa sababu ya 'zima taa' saga lakini kiukweli dogo yuko vizuri na mambo yake anayafanya kimya kimya sana, mpaka sasa anapiga parapata kuwa Kajala na Konde wanarudiana. Probably it's his wish, sasa fikiria anavyojua kuwa kuachana kwao kumesababishwa na Rayvanny anasahau kuwa aliyetuma utupu wake ndiyo primary source ya timbwili lote.Naona watu wanajiuliza hivi kati ya hawa wawili rayvan na harmonize nani yupo juu kimafanikio au kwamana ya utajiri?
Coz namuona mwijaku leo kwenye radio kataja wasanii wanamuziki ambao ni matajiri diamond, alikiba, harmonize na jux hivi ni kweli hawa ndio wanaongoza kwa utajiri?
Na ukimchunguza mwijaku hao ni watu wake ingawa diamond hamfagiliagi so mwasemaje coz mimi binafsi naona wa kwanza ni mondi na wapili ni rayvan ingawa hapendi showoff coz juzi kanunua ghorofa tamu kinoma ila kapiga kimyaa, harafu kuna nandy yupo vizuri sana
Labda ndiyo dalali wa manunuzi au fundi anayepaka rangi huo mjengo, just joking[emoji38][emoji38].Kama kanunua ghorofa na akapiga kimya,wewe umeijuaje hiyo habari?
Pamoja na kutovijua sana hivi vitu jengo alilionyesha mtandaoni I'm not sure where ila kuna You Tubers walilirusha hewani, it's like alikuwa anauliza aliite either Chui house and some other names. So kwa hilo moja lilionekana sana You Tube sasa hayo mengine labda waulizwe wenye Instagram accounts.Picha...ziko wapi??? Nataka picha za
kadi za gari
Hati za nyumba
Bank statements
Mikataba
Za hao wote mliowataja
Na hapa ndo utamuona hayo mavi ya kuku atakayoyapakua hapaKama kanunua ghorofa na akapiga kimya,wewe umeijuaje hiyo habari?
Ni rafiki yake na dalali aliyeuza hlo ghorofaKama kanunua ghorofa na akapiga kimya,wewe umeijuaje hiyo habari?
Ila harmonize anajua sana mzikiUsidanganywe Zuchu kwa sasa ana pesa kuliko huyo mmakonde anaeishi ofisini kwake pamoja na wasanii wake. Baada ya dudu endorsement zilikimbia yupo choka mbaya anaungaunga.
Rayvanny ndio msanii mwenye pesa nyingi baada ya Mondi.