Chachasteven
JF-Expert Member
- Jul 4, 2014
- 1,941
- 2,044
Cheki hapa Rayvanny alivyotumia uchawi kwenye shoo yake ya Fiesta Sumbawanga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni mwanasiasa mkubwa.
😂😂 Jibu sahihiNi mwanasiasa mkubwa.
Tufanye vyote, JHC.Tu-SUBSCRIBE au tuangalie video tu?
Mkuu, somewhere in your heart, you hate this guy. Naturally tu. Kweli si kweli?mwambieni muziki siyo kuja na picha picha au kuja na mavitu ka.a wazee wa kiasili hapa mwambieni aoneshe kipaji kwenye uimbaji Kama kwel anataka ashindana na soko la muziki hapa bongo.
na dhahani Kama wapo wanaomshauri hivi basi Kuna nafasi kubwa naona analelekea bongo muvi ubunifu zerrooooo
....
na tuliwambia alikua anabebwa na lion ona Sasa hashitui Tena ndo basi Tena chuo anakwenda kuwa paka nyauuuu
Hate is real na katika matamanio yake ni kwamba dogo afeli, uchawi si mpaka kuwanga uchi usiku kwani hata hiyo post uliyoi-quote ni aina mojawapo ya uchawi.Mkuu, somewhere in your heart, you hate this guy. Naturally tu. Kweli si kweli?
Kweli, bro. Nadhani ifike wakati tujifunze Ku appreciated Sana'a ya mtu. Akili nyinga sana inatumika mpaka kuona kazi zinatoka hivi. Halafu baadae mtu anakujaga kuchukulia poa. Inauma!Hate is real na katika matamanio yake ni kwamba dogo afeli, uchawi si mpaka kuwanga uchi usiku kwani hata hiyo post uliyoi-quote ni aina mojawapo ya uchawi.
Haters huwa hata uwe creative kiasi gani wao watatafuta namna kuchomeka negativity zao, normally watu ambao huwa wako frustrated na hali zao huwa na chuki kwa watu wenye careers.Kweli, bro. Nadhani ifike wakati tujifunze Ku appreciated Sana'a ya mtu. Akili nyinga sana inatumika mpaka kuona kazi zinatoka hivi. Halafu baadae mtu anakujaga kuchukulia poa. Inauma!
Mwenge ni uchawi wa wachawiMshana Jr tuambie huu ni uchawi?
hahaaaaNi mwanasiasa mkubwa.