Rayvany hauna Mke hapa

Dingii Vanny boy mbona ana mke anaitwa Fahyvanny na wana mtoto??au wameachana??
 
Udhaifu wa mwanamke ni pesa,na udhaifu wa mwanaume ni mwanamke....waache wale bata...wakati mwingine mambo ya ndoa ni kuzeeshana (msemo wa vijana)
 
Msambaa wa bumbuli kawehuka sana hahahah

Aende kwao Kule kuna mibaridi sijui hiko kivazi ataweza vaa kule
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…