brave one
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 4,879
- 7,386
Rayvany ametoa wimbo mpya akishirikiana na diamond unaoitwa Mwanza
Bill Shaka Hawa ni vijana wenye uwezo mkubwa wa kuimba lakini za kushangaza wametoa wimbo mbovu Sana kulinganisha na uwezo.
Kwenye kiitikio wametumia eneo ya nyegezi lakini wameimba kwa kulikata na kutumia neno nyege kwa kurudia rudia hi Haina tofauti na nyimbo ya ney wa mitego iliyofungiwa na BASATA iliyokuwa inaitwa MAKUZI lakini Ney alilikata na kurudiarudi neno MAKU na BASATA kutafsiri Kama matusi
Nategemea BASATA kuifungia nyimbo hii pia labda Kama wanamuogoma Diamond
Pili beat ya nyimbo hii linafanana na beat ya nyimbo ya makulusa alioimba Rayvany na dj maphorisa
WCB naona ubunifu umeanza kupunga nyimbo nyingi maneno yanajirudia jirudia
Bill Shaka Hawa ni vijana wenye uwezo mkubwa wa kuimba lakini za kushangaza wametoa wimbo mbovu Sana kulinganisha na uwezo.
Kwenye kiitikio wametumia eneo ya nyegezi lakini wameimba kwa kulikata na kutumia neno nyege kwa kurudia rudia hi Haina tofauti na nyimbo ya ney wa mitego iliyofungiwa na BASATA iliyokuwa inaitwa MAKUZI lakini Ney alilikata na kurudiarudi neno MAKU na BASATA kutafsiri Kama matusi
Nategemea BASATA kuifungia nyimbo hii pia labda Kama wanamuogoma Diamond
Pili beat ya nyimbo hii linafanana na beat ya nyimbo ya makulusa alioimba Rayvany na dj maphorisa
WCB naona ubunifu umeanza kupunga nyimbo nyingi maneno yanajirudia jirudia