Wee unaonaje .?Kwani hapa wanaongelea uteam?
Naona watu wanazungumzia neno nyege ambalo halijakaa sawa. Ila kwakua kaimba mtu wa wcb ni sawaWee unaonaje .?
Bonge la nyimboo...
Tunataka nyimbo za kujirusha sio mapambio
nyimbo inapiga au wimbo unapigwa unajinadi una utashi wakati hata kuandika hujui? Acha dharau bwana mdogo usijifanye una uelewa sana wakati hata hatujuani tunabishana nyuma ya keyboard lazima utambue hilo,,kama ww kweli una utashi huwezi ukakaa na familia yako alafu unaweka chanel za nyimbo za maudhui hayo..ukijiona unasikiliza nyimbo za maudhui hayo na familia yako inabidi ukajipime akili inabidi watu mubadilike mkubali kuwa kuna mambo ya kusikiliza watoto na kuna mambo ya kusikiliza watu wazima sio kila kitu ni mnatumana kufungiaTatizo lenu mkimpenda mtu hata akikosea unaona sawa tu
Hivi mwanaume kweli lijali umekaa na familia alafu nyimbo inapiga inaimba nyege ngeye wewe unakenua tu unaona sawa? Mkuu wakati Mungu anagawa utashi wewe ulikuwa wapi?
Kuhusu clouds Mimi Wala sio shabiki wao
Mkuu hivi unajielewa kweli? Unadhani muda wote mzazi Yuko nyumbani kubadilisha channel? Mtoto anaenda shule anapanda daladala hizi nyimbo zinapigwa, anaenda dukani hizi nyimbo zinapigwa, anapita mitaani nyimbo hizi zinapigwa,nyimbo inapiga au wimbo unapigwa unajinadi una utashi wakati hata kuandika hujui? Acha dharau bwana mdogo usijifanye una uelewa sana wakati hata hatujuani tunabishana nyuma ya keyboard lazima utambue hilo,,kama ww kweli una utashi huwezi ukakaa na familia yako alafu unaweka chanel za nyimbo za maudhui hayo..ukijiona unasikiliza nyimbo za maudhui hayo na familia yako inabidi ukajipime akili inabidi watu mubadilike mkubali kuwa kuna mambo ya kusikiliza watoto na kuna mambo ya kusikiliza watu wazima sio kila kitu ni mnatumana kufungia
Maisha yanaendelea je hapo baraza la kiswahili bakita?Nyimbo = Nyingi
Wimbo = Mmoja
Ukisikiliza series ya nyimbo zao nyingi, zimejaa maneno yanayoashiria na kuhamasisha ngono zaidi, nahisi washabiki wao wanazipenda sana, so kama sio mshabiki wao hazikuhusu.Nilishasema humu hawa vijana wanaimba sana matusi,sasa sijui ndo fasheni au vipi??
Kwahiyo ni sawa msanii ndani ya Tanzania hii kuimba matusi as long as mashabiki wanazipenda??...una akili kweli??Ukisikiliza series ya nyimbo zao nyingi, zimejaa maneno yanayoashiria na kuhamasisha ngono zaidi, nahisi washabiki wao wanazipenda sana, so kama sio mshabiki wao hazikuhusu.
Mmmh...picha tuoneHapo anaposema nyege
Mmmh mpaka nimekuwa wet...
Katika post zote sijaona unapewa like Yani ujajishitukia tu,maana unaongea pumba tuMkuu hivi unajielewa kweli? Unadhani muda wote mzazi Yuko nyumbani kubadilisha channel? Mtoto anaenda shule anapanda daladala hizi nyimbo zinapigwa, anaenda dukani hizi nyimbo zinapigwa, anapita mitaani nyimbo hizi zinapigwa,
Mkuu jaribu kuruhusu ubongo wako ufanye kazi yake
Unakuwa Kama jiwe hapendi kukosolewa
Sijaona tusi hapoKwahiyo ni sawa msanii ndani ya Tanzania hii kuimba matusi as long as mashabiki wanazipenda??...una akili kweli??
Sijasema ni sawa, wala mimi binafsi sifurahishwi nazo, ila ukweli ni kwamba sehemu kubwa ya jamii yetu inafurahia nyimbo hizo na ina-reflect uhalisia wa jinsi jamii ilivyopoteza maadili, otherwise wasinge endelea kuimba hivyo, na si Diamond tu na vijana wake, ila wasanii wengi sasa mashairi ya nyimbo zao yamejaa matusi.Kwahiyo ni sawa msanii ndani ya Tanzania hii kuimba matusi as long as mashabiki wanazipenda??...una akili kweli??
Unauliza swali la kitoto Sana mkuu, ukiwa Kama mtu mzima huwezi shindwa just maana ya nyegeWewe ndo umetafsiri hivyo,kwanza unajua maana ya nyege?
Ingekuwa hivo amber rutty asingeshtakiwa maana kitendo alichofanya kina wapenzi wake piaUkisikiliza series ya nyimbo zao nyingi, zimejaa maneno yanayoashiria na kuhamasisha ngono zaidi, nahisi washabiki wao wanazipenda sana, so kama sio mshabiki wao hazikuhusu.
kumbe ww una ubishi wa kwenye kahawa haya endelea kubishana maana inaonekana hujua maana ya option ya parental control waliyowawekea kwenye visimbusi vyenu...elimu elimu elimuMkuu hivi unajielewa kweli? Unadhani muda wote mzazi Yuko nyumbani kubadilisha channel? Mtoto anaenda shule anapanda daladala hizi nyimbo zinapigwa, anaenda dukani hizi nyimbo zinapigwa, anapita mitaani nyimbo hizi zinapigwa,
Mkuu jaribu kuruhusu ubongo wako ufanye kazi yake
Unakuwa Kama jiwe hapendi kukosolewa