Duuhh vipi unahitaji msaadaHapo anaposema nyege
Mmmh mpaka nimekuwa wet...
"Michezo ya Amber Rutty"...."Nyege"
Sema nguo wanazovaa wasanii wa kibongo, huwezi kuzivaa na ukapita nazo kitaa.
Diamond anapenda kuvaa marangi rangi mengi kama upinde wa mvua.
Nyege Nyege.. Kwetu Mwanza Nyegezi.
Mmmh! Nyege Nyege.. Nishushe Mwanza Nyegezi.
Nyimbo nzuri sana..sio hawa wapuuzi wanaimba matusi matusi tu...Nimeiweka repeat mode
Duuhh vipi unahitaji msaada
Mkuu sauti gani tena?Una sauti kama hiyo?
Mm nataka nikusaidie hiyo wet mkuuUna sauti kama hiyo?
hii kitu watu huwa hawaioni nadhan ndo inaharibu jamii kuliko hata hzo nyimboView attachment VID-20181111-WA0002.mp4Upuuzi wanaoimba hao wanaojiita Wasafi siku hizi hauvumiliki,kama wamechoka kuimba waendelee kuuza karanga....Angalau Harmonize na Lavalava wanajitahidi ukiondoa nyimbo chache....hao waliobaki ni ngono ngono ngono....upuuzi mtupu
Na huu wimbo wa minyege nyege haumalizi hata wiki mtaani utakuwa kapuni.
Aah mtumishiHuo wimbo mzuri ila hiyo chorus inakata munkari ya kusikiliza
Ehee mimi pia nimeona nikasema ina maana nguo za staili hii anapenda sanaNa kurudia nguo. Ile trouser yenye rangi ya binzari binzari kwenye Kwangwaru aliivaa pia.
Kama bado akili zako ni za kutafuta marafiki mitandaoni hivi akili zako kweli zinaweza kuchambua na kudadavua contents za nyimbo ???
Natafuta marafiki - JamiiForums
Hater!Bill Shaka Hawa ni vijana wenye uwezo mkubwa wa kuimba lakini za kushangaza wametoa wimbo mbovu Sana kulinganisha na uwezo