Tatizo la huyu Diomond ni dogo sana,aende shule ubongo unaweza funguka kidogo.Diamond anadai anaogopa central kucheza michezo ya Amber Rutty. Hii inachukiza sana
Msikilize diamond na hata Mimi namsikiliza ni mtanzania mwenzetu ila inapokosea lazima tuseme na akifanya vizuri tutamsifia piaUnajua sisi waafrica tumezoea kulalamika sana, sasa mleta mada anataka wimbo wa Diamond ufungiwe... Nikamwona kama ni mtumwa kwani ukiachana na diamond hamna mwanamziki mwingine, basi wote tusklize nyimbo za kaswida na nyimbo za dini
Mkuu umewasikia BASATA? Maana watu Kama nyie kasi yenu ni kusifia ujinga tu kwasababu unampenda mtu
Mkuu BASATA wamenisikia , nyimbo iko lokapu aka behind bars
Si tu kufuatulia maana ya tungo za wakina davido na wizkid , Mimi ni mmoja wa watanzania tunaofuatilia mziki wa bara la Africa .Ulishawahi kuyaweka katika lugha ya KISWAHILI hayo maneno wanayoimba wakina Davido na Wizkid?
Hivi unajua kusoma vizuri kweli Kiongozi?Si tu kufuatulia maana ya tungo za wakina davido na wizkid , Mimi ni mmoja wa watanzania tunaofuatilia mziki wa bara la Africa .
Kwa kukuelesha tu Davido au Wizkid kuimba matusi si Justification ya Diamond kuimba matusi. Kosa ni kosa tu. Yaani wewe Mke wako aende kupigwa mashine na jirani halafu ajitetee mbona Mama Jenifa nae alitembea na mtu flani na mume wake hakusema lolote. Kwa akili zako naona unaweza kutoa msamaha uliotukuka kwa huyo Mke wako aliotoka kupandia dhakari ya jirani yako.
Sasa turudi kwenye point, hao wakina Wizkid na Davido wameshafungiwa nyimbo zao nyingi tu huko Nigeria. Nakuwekea orodha hapa ujisomee na sio kuja na utetezi mbuzi.
View attachment 932999
Nani anakulazimisha kusikizwa ?
Wasanii siku hizi sijui wanaimba nini,uchafu mtupu!
Ni ngono ngono tu.
Nani anakulazimisha kusikizwa ?
Stick kwa Rose Muhando na Christina Shusho au Bonny Mwaitege.
I hope umetimiza hii ahadi yakoNaona mnahangaikaaa kuuponda huu wimbo...
Ni kweli mjimbo wote ni matusi mwanzo mwisho
Ila Basata kuufungia msahau...wakiufungia ntakata gogo kuanzia posta mpaka mbagala ...tena kwa mafungu mafungu
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]I hope umetimiza hii ahadi yako