RC Ally Hapi aliagiza Jeshi la Polisi kuwasaka waliopoteza mamilioni ya Serikali

RC Ally Hapi aliagiza Jeshi la Polisi kuwasaka waliopoteza mamilioni ya Serikali

John Haramba

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2022
Posts
365
Reaction score
1,374
Mkuu wa Mkoa wa Mara, Ally Hapi ameliagiza Jeshi la Polisi mkoani humo kuwasaka na kuwakamata watu zaidi ya 100 ambao wanadaiwa kupotea na kutowasilisha fedha benki zilizokusanywa kupitia Mashine za Kukusanyia Mapato (POS) kwa Halmashauri ya Bunda, Tarime Mji pamoja na Butiama.



Source: Dar Mpya
 
Happy, jiuzulu, kamati za ulinzi na usalama mpaka mtaa unashindwa kufahamu wizi mpaka SSH atoke chamwino
 
Mkuu wa Mkoa wa Mara, Ally Hapi ameliagiza Jeshi la Polisi mkoani humo kuwasaka na kuwakamata watu zaidi ya 100 ambao wanadaiwa kupotea na kutowasilisha fedha benki zilizokusanywa kupitia Mashine za Kukusanyia Mapato (POS) kwa Halmashauri ya Bunda, Tarime Mji pamoja na Butiama.

View attachment 2140901

Source: Dar Mpya
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 . Nchi yetu kwa maigizo naivulia kofia. Haya tutafika tu. Wanaotakiwa kusakwa nao wanatangaza msako!
 
Mkuu wa Mkoa wa Mara, Ally Hapi ameliagiza Jeshi la Polisi mkoani humo kuwasaka na kuwakamata watu zaidi ya 100 ambao wanadaiwa kupotea na kutowasilisha fedha benki zilizokusanywa kupitia Mashine za Kukusanyia Mapato (POS) kwa Halmashauri ya Bunda, Tarime Mji pamoja na Butiama.

View attachment 2140901

Source: Dar Mpya
Huyu ile dhambi ya kuwatusi akina Kikwete na Kinana inamtesa sana!

Anatumia nguvu nyingi sana kuzuia asipatwe na yaliyowapata akina Sabaya na Makonda!
 
Bunda na Tarime ni ngome za Chadema!
Huyu RC si ilionekanaga hela za ujenzi wa shule na madawati za UVICO-19 ilipigwa hadi Rais SSH alitoa red light? Mbona hagusii hiyo, badala yake anakimbizana Na malipo ushuru wa shilingi mia mia?
 
Hivi hizi biti zinaleta matokeo!?? Maana jamaa kafululiza hatarii
 
Back
Top Bottom