GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja, Ayoub Mohammed Mahamoud amekasirishwa na kukemea tabia zilizokithiri kwenye fukwe za Bahari za Zanzibar kwa baadhi ya Ma- Beach Boys kuwalaghai Wake wa Watalii wanaoingia Zanzibar na kuanzisha nao uhusiano na hata kuwasababisha kuvunja ndoa zao jambo ambalo limekuwa likikasirisha Watalii.
RC Ayoub ameyasema hayo leo August 15,2024 kwenye semina ya Waongoza Watalii na Beach Boys kuelekea Kizimkazi Festival katika Mkoa wa Kusini ambapo amesema kuna changamoto ambazo zimekuwa zikisababishwa na Watu wasiofuata utaratibu na kwamba matatizo yanayojitokeza kwa Beach Boys yatakomeshwa.
"Wale ambao bado wataendelea kukaidi utaratibu uliotolewa hapo sasa hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yao, hatutomvumilia yule atakayedhoofisha uchumi wetu kwa kuleta utalii usiofata utaratibu, Watanzania tunaowaita Beach Boys wamekuwa na tabia ya kunyang’anya wake wa Watalii jambo ambalo linapelekea Watalii kuichukia Nchi yetu na ndio maana nimelikemea hilo ili wale ambao wenye tabia hizo tutawaondoa kwasababu watakuwa wamekosa vigezo katika Mkoa wetu.
”Kwa mujibu wa taarifa zisizo rasmi kutoka Zanzibar inadaiwa kuwa Watalii wanaamini kuna Watu hutumia hadi dawa za asili za mvuto kuwashawishi Wake zao kuchepuka na baadaye huachana na Wanaume zao na kubaki na Vijana wa Kitanzania.
Chanzo: Millard Ayo
Sijaona hapa Kosa la hawa Beach Boys sana sana Mamlaka ingekuwa na Akili ingewapongeza kwa Kupiga Miti vizuri Watalii wa Kike wa Kigeni huko Zanzibar kwani kwa kufanya hivi kutafanya hawa Watalii wa Kike wanaopigwa Miti Kunakotukuka wawahdithie Wenzao huko Ulaya na Wao kuanza Kufurika Kisiwani Zanzibar kuongeza Mapato kwa Kipengele Kipya cha Utalii wa Kupiga Miti ya uhakika Watalii wa Kigeni wa Kike ( Sex Tourism ) wajao Visiwani.
Na msichokijua ni kwamba 50% ya Mapato ya Utalii ya nchi ya Gambia yanatokana na Wazungu wengi wa Kike kwenda huko Kulala ( Kukazwa au Kupigwa Miti ) na Wanaume wa Gambia ambao kwa Utafit wa hivi karibuni unasema ndiyo Taifa lenye Wanaume wenye Mikuyenge / Mikurudungu / Uume / Mibolo mkubwa kuliko Wanaume wote duniani.
Wikiendi ndiyo imeshaanza hivyo ngoja sasa nami Mtalii Kivuli huku niliko nipige Miti ili vyema niitangaze nchi yangu.
RC Ayoub ameyasema hayo leo August 15,2024 kwenye semina ya Waongoza Watalii na Beach Boys kuelekea Kizimkazi Festival katika Mkoa wa Kusini ambapo amesema kuna changamoto ambazo zimekuwa zikisababishwa na Watu wasiofuata utaratibu na kwamba matatizo yanayojitokeza kwa Beach Boys yatakomeshwa.
"Wale ambao bado wataendelea kukaidi utaratibu uliotolewa hapo sasa hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yao, hatutomvumilia yule atakayedhoofisha uchumi wetu kwa kuleta utalii usiofata utaratibu, Watanzania tunaowaita Beach Boys wamekuwa na tabia ya kunyang’anya wake wa Watalii jambo ambalo linapelekea Watalii kuichukia Nchi yetu na ndio maana nimelikemea hilo ili wale ambao wenye tabia hizo tutawaondoa kwasababu watakuwa wamekosa vigezo katika Mkoa wetu.
”Kwa mujibu wa taarifa zisizo rasmi kutoka Zanzibar inadaiwa kuwa Watalii wanaamini kuna Watu hutumia hadi dawa za asili za mvuto kuwashawishi Wake zao kuchepuka na baadaye huachana na Wanaume zao na kubaki na Vijana wa Kitanzania.
Chanzo: Millard Ayo
Sijaona hapa Kosa la hawa Beach Boys sana sana Mamlaka ingekuwa na Akili ingewapongeza kwa Kupiga Miti vizuri Watalii wa Kike wa Kigeni huko Zanzibar kwani kwa kufanya hivi kutafanya hawa Watalii wa Kike wanaopigwa Miti Kunakotukuka wawahdithie Wenzao huko Ulaya na Wao kuanza Kufurika Kisiwani Zanzibar kuongeza Mapato kwa Kipengele Kipya cha Utalii wa Kupiga Miti ya uhakika Watalii wa Kigeni wa Kike ( Sex Tourism ) wajao Visiwani.
Na msichokijua ni kwamba 50% ya Mapato ya Utalii ya nchi ya Gambia yanatokana na Wazungu wengi wa Kike kwenda huko Kulala ( Kukazwa au Kupigwa Miti ) na Wanaume wa Gambia ambao kwa Utafit wa hivi karibuni unasema ndiyo Taifa lenye Wanaume wenye Mikuyenge / Mikurudungu / Uume / Mibolo mkubwa kuliko Wanaume wote duniani.
Wikiendi ndiyo imeshaanza hivyo ngoja sasa nami Mtalii Kivuli huku niliko nipige Miti ili vyema niitangaze nchi yangu.