Pre GE2025 RC Chalamila akutana na Waandamanaji wa CHADEMA. Awatakia heri kwenye maandamano na kuwasihi kufikisha ujumbe walipokusudia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Influenza

JF-Expert Member
Joined
Jul 1, 2018
Posts
1,509
Reaction score
3,756
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amewatakia kila la heri wafuasi wa CHADEMA waliokutana maeneo ya Mbezi Mwisho stendi ya Magufuli kwa ajili ya kuanza maandamano ya amani na kuwataka kuulinda uwekezaji uliopo ndani ya Jiji hilo wasiuharibu na badala yake wafikishe ujumbe walioukusudia siku ya leo.

"Mnatakiwa kufikisha ujumbe pale mlipokusudia, serikali tuko na nyie na tunawatakia kila la heri, ninyi na mimi ni wana Dar es Salaam penye mzunguko mkubwa wa pesa, penye hospitali kubwa na uwekezaji mkubwa, maandamano yetu yanapaswa kulinda uwekezaji wote huo, Rais Samia na viongozi wote wamesema wacha watu waandamane," amesema Chalamila

Your browser is not able to display this video.
 
Hahahaha hapo sasa imegeuka comedy show
Kwenye haya maandamano kuna mawili kubuma au kumake hedlines sana …
Lakini japo hayatokuwa na matokeo yeyote lakini chadema wanayo option ya kukomaa na wananchi na kuwashawishi kususia chaguzi zijazo lakini wao chadema ndio wawe wa kwanza kususia uchaguzi ….
 
Hawana kazi za kufanya hao nyumbu wa Chadema.

Makonda anasema Samia ni mama vinginevyo ingekuwa awamu ya chuma angewafyeka wote 😂😂
 
Amesandaaaaaaa
Your browser is not able to display this video.

Mkubwa kasandaaa dogo katoboaaaa...... it's there time to shine men!
 
Mnafiki sana huyu mzee wa kilaji
 

Sasa ile biashara ya kuokota makopo leo imeishia wapi......!!?
 
Hawana kazi za kufanya hao nyumbu wa Chadema.

Makonda anasema Samia ni mama vinginevyo ingekuwa awamu ya chuma angewafyeka wote [emoji23][emoji23]

Wewe mwenye kazi ya kufanya mbona kutwa kucha upo hapa Jf unaandika utumbo tu?!
Waache Chadema watumie haki yao ya kikatiba
 
Ila siamini kama kutakuwa na nyomi ya waabdamanaji..
siku ya kazi leo..
 

View: https://twitter.com/CloudsMediaLive/status/1750048222658064651?t=0GGWHGw2ncMZSYRQdf-0iw&s=19
 
Hawana kazi za kufanya hao nyumbu wa Chadema.

Makonda anasema Samia ni mama vinginevyo ingekuwa awamu ya chuma angewafyeka wote [emoji23][emoji23]
Ukiwa punguani unaweza kuamini kuwa ni rahisi kumfyeka binadamu mwenzako.

Tatizo letu ni kukosa ujasiri. Tungekuwa majasiri, hakuna wa kutisha wala kuufyeka umma. Sanasana mambo yamgekuwa kinyume chake, watawala ndio wangekuwa wanauogopa umma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…