johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mkuu wa mkoa wa DSM mh Albert Chalamila amewataka Wakuu wa Wilaya zote 5 kipanga ratiba ya Zoezi la Usafi kila Wiki Ili kupambana na maradhi ya maambukizi
Chalamila amesema amesikia kuna baadhi ya Wanasiasa Wanataka kukwamisha Zoezi la Usafi hivyo amewataka Watendaji wawaripoti haraka ofisini kwake
" Nileteeni Majina yao nitawashughulikia ndani ya dakika 5 tena kwa speed ya Ambulance" amesisitiza Dr Chalamila PhD
Source: Upendo TV
Chalamila amesema amesikia kuna baadhi ya Wanasiasa Wanataka kukwamisha Zoezi la Usafi hivyo amewataka Watendaji wawaripoti haraka ofisini kwake
" Nileteeni Majina yao nitawashughulikia ndani ya dakika 5 tena kwa speed ya Ambulance" amesisitiza Dr Chalamila PhD
Source: Upendo TV