RC Chalamila na mzaha wa kufikirika

RC Chalamila na mzaha wa kufikirika

johnmashilatu

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2010
Posts
841
Reaction score
909
Ndio kwa utashi wangu nimeamua kumpuuza RC huyu wa Dar baada ya kujiridhisha kuwa hastahili nafasi hiyo. ni kubwa sana kwake, ajaribu shughuli nyingine

Sina uhakika kama mwamba huyu anayafahamu au amezingatia kuwatumia wanajeshi 8000 kufanya usafi Jan 23 na 24. Kwa sababu:-

1. Wanajeshi 8000 ni sawa na Brigedi moja na batalion tatu.

2.Brigedi yenye askari 5000 huongozwa na Brigedia Jenerali huku batalioni ikiongozwa na Luteni Kanali.

3. Utahitaji mabasi 123 kuwasafirisha watu 8000.

4. Utahitaji angalau milioni 80 kwa siku kuwapatia chai na chakula cha mchana wapiganaji hao ( 10000 kwa kila mmoja).

5. Hapa hatujaweka gharama za mafuta, posho nk.

6. Hawa wanajeshi huwa hawana majukumu huko kambini kiasi wanasubiri matukio kama haya?

Huyu RC amefikiri sawasawa kuwa Brigedia anaweza kusimamia usafi?

Na je, gharama husika zitatoka kwebye fungu gani?
 
Ndugu John Maviatu, Dola ikiwa kazini haihitaji kuhesabu gharama, gharama za kulinda amani huwa zinakuwa ndogo kuliko gharama za kuirudisha amani iliyochafuka.

Kila senti itatumika kupambana na wahuni wanaotaka kuharibu amani.
 
Ndio kwa utashi wangu nimeamua kumpuuza RC huyu wa Dar baada ya kujiridhisha kuwa hastahili nafasi hiyo. ni kubwa sana kwake, ajaribu shughuli nyingine

Sina uhakika kama mwamba huyu anayafahamu au amezingatia kuwatumia wanajeshi 8000 kufanya usafi Jan 23 na 24. Kwa sababu:-

1. Wanajeshi 8000 ni sawa na Brigedi moja na batalion tatu.

2.Brigedi yenye askari 5000 huongozwa na Brigedia Jenerali huku batalioni ikiongozwa na Luteni Kanali.

3. Utahitaji mabasi 123 kuwasafirisha watu 8000.

4. Utahitaji angalau milioni 80 kwa siku kuwapatia chai na chakula cha mchana wapiganaji hao ( 10000 kwa kila mmoja).

5. Hapa hatujaweka gharama za mafuta, posho nk.

6. Hawa wanajeshi huwa hawana majukumu huko kambini kiasi wanasubiri matukio kama haya?

Huyu RC amefikiri sawasawa kuwa Brigedia anaweza kusimamia usafi?

Na je, gharama husika zitatoka kwebye fungu gani?
Huyo pimbi anajua anachoongea only 50% of the time.
 
Ndio kwa utashi wangu nimeamua kumpuuza RC huyu wa Dar baada ya kujiridhisha kuwa hastahili nafasi hiyo. ni kubwa sana kwake, ajaribu shughuli nyingine

Sina uhakika kama mwamba huyu anayafahamu au amezingatia kuwatumia wanajeshi 8000 kufanya usafi Jan 23 na 24. Kwa sababu:-

1. Wanajeshi 8000 ni sawa na Brigedi moja na batalion tatu.

2.Brigedi yenye askari 5000 huongozwa na Brigedia Jenerali huku batalioni ikiongozwa na Luteni Kanali.

3. Utahitaji mabasi 123 kuwasafirisha watu 8000.

4. Utahitaji angalau milioni 80 kwa siku kuwapatia chai na chakula cha mchana wapiganaji hao ( 10000 kwa kila mmoja).

5. Hapa hatujaweka gharama za mafuta, posho nk.

6. Hawa wanajeshi huwa hawana majukumu huko kambini kiasi wanasubiri matukio kama haya?

Huyu RC amefikiri sawasawa kuwa Brigedia anaweza kusimamia usafi?

Na je, gharama husika zitatoka kwebye fungu gani?
Sina uhakika kama mwamba huyu anayafahamu au amezingatia kuwatumia wanajeshi 8000 kufanya usafi Jan 23 na 24.[emoji419][emoji375]


Sent using Jamii Forums mobile app
 
1. Wanajeshi 8000 ni sawa na Brigedi moja na batalion tatu.

2.Brigedi yenye askari 5000 huongozwa na Brigedia Jenerali huku batalioni ikiongozwa na Luteni Kanali.

3. Utahitaji mabasi 123 kuwasafirisha watu 8000.

4. Utahitaji angalau milioni 80 kwa siku kuwapatia chai na chakula cha mchana wapiganaji hao ( 10000 kwa kila mmoja).

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wafanye tu usafi wala sio mara ya kwanza tena mimi natayarisha viroba na machepe ya kuzolea taka!
 
1. Wanajeshi 8000 ni sawa na Brigedi moja na batalion tatu.

2.Brigedi yenye askari 5000 huongozwa na Brigedia Jenerali huku batalioni ikiongozwa na Luteni Kanali.

3. Utahitaji mabasi 123 kuwasafirisha watu 8000.

4. Utahitaji angalau milioni 80 kwa siku kuwapatia chai na chakula cha mchana wapiganaji hao ( 10000 kwa kila mmoja).

Sent using Jamii Forums mobile app
Ujinga wa huyu pimbi kufikiri anaweza kuwatumia wanajeshi kwa shughuli zisizowahusu kikatiba, lazima aadabishwe.
 
Ndio kwa utashi wangu nimeamua kumpuuza RC huyu wa Dar baada ya kujiridhisha kuwa hastahili nafasi hiyo. ni kubwa sana kwake, ajaribu shughuli nyingine

Sina uhakika kama mwamba huyu anayafahamu au amezingatia kuwatumia wanajeshi 8000 kufanya usafi Jan 23 na 24. Kwa sababu:-

1. Wanajeshi 8000 ni sawa na Brigedi moja na batalion tatu.

2.Brigedi yenye askari 5000 huongozwa na Brigedia Jenerali huku batalioni ikiongozwa na Luteni Kanali.

3. Utahitaji mabasi 123 kuwasafirisha watu 8000.

4. Utahitaji angalau milioni 80 kwa siku kuwapatia chai na chakula cha mchana wapiganaji hao ( 10000 kwa kila mmoja).

5. Hapa hatujaweka gharama za mafuta, posho nk.

6. Hawa wanajeshi huwa hawana majukumu huko kambini kiasi wanasubiri matukio kama haya?

Huyu RC amefikiri sawasawa kuwa Brigedia anaweza kusimamia usafi?

Na je, gharama husika zitatoka kwebye fungu gani?

Huyu RC, ninaamini kabisa siyo mentally healthy.

Sisi wengine tumeyaishi maisha ya JWTZ kwa kipindi fulani (kikosi cha anga), japo tuliamua kutoendelea. Kama ulivyosema, brigade moja, huwa ina askari kiwango cha chini, askari 5,000. Na huwa ina vikosi kadhaa vinavyounda brigade 1. Huyu anasema eti askari wa TPDF 8,000. Huyu RC ni mjinga na wa kumpuuza. He had never been serious for anything.

Fikiria kuwa amesema kuwa eti wanaofifisha shuguli za usafi, wakiripotiwa kwake, toka alipoambiwa, ndani ya dakika 5 anakuwa amewashughulikia! Hata kama unashugulikia mambo kwa haraka, je, ni kweli matatizo yanayohitaji sheria na kanuni, unaweza kuyamaliza ndani ya dakika 5?

Kasema kuwa eti anapowafuata wanaokiuka taratibu za usafi anawaendea kwa speed ya ambulance! Hivi RC huwa anaenda kukamata wahalifu mitaani kwa mikono yake?

Wakati akiwa kule Mbeya, aliwahi kumwambia Hayati Magufuli kuwa anamshukuru sana Magufuli kwa kuwa amempelekea mkurugenzi msichana mrembo sana! Magufuli akamkemea. Hivi urembo wa mtu una mchango gani kiutendaji?

Siku 2 kabla ya Magufuli kutangazwa amefariki, yeye alisema ameongea na Magufuli, yupo wa afya na anawasalimia wananchi wa Mbeya!

Huyu hana sifa hata moja ya uongozi. Ila kwa sababu nchi tumeridhia kuongozwa na vichaa, wendazimu na hata wauaji, ndiyo maana na huyu ni kiongozi, tena wa Dar es Salaam.

Huyu ni wa kupuuzwa. Kwake kauli wala namba hazina maana. 8,000; 100 su hata 80, hakuwezi kuwa na tofauti yeyote. Kutembea, kukimbia au kutambaa, kwake havina yofauti yeyote. Ni mropokaji. Anaropoka chochote kilicho jirani na mdomo wake.

Lakini Rais afahamu kuwa kati ya mambo ambayo majeshi yote Duniani huwa hayako tayari, ni kupuuzwa na kufanywa si chochote, tena na watu wasio na chochote kichwani.
 
Huyu RC, ninaamini kabisa siyo mentally healthy.

Sisi wengine tumeyaishi maisha ya JWTZ kwa kipindi fulani (kikosi cha anga), japo tuliamua kutoendelea. Kama ulivyosema, brigade moja, huwa ina askari kiwango cha chini, askari 5,000. Na huwa ina vikosi kadhaa vinavyounda brigade 1. Huyu anasema eti askari wa TPDF 8,000.

Huyu RC ni mjinga na wa kumpuuza. He had never been serious for anything.

Fikiria kuwa amesema kuwa eti wanaofifisha shuguli za usafi, wakiripotiwa kwake, toka alipoambiwa, ndani ya dakika 5 anakuwa amewashughulikia! Hata kama unashugulikia mambo kwa haraka, je, ni kweli matatizo yanayohitaji sheria na kanuni, unaweza kuyamaliza ndani ya dakika 5?

Kasema kuwa eti anapowafuata wanaokiuka taratibu za usafi anawaendea kwa speed ya ambulance! Hivi RC huwa anaenda kukamata wahalifu mitaani kwa mikono yake?

Wakati akiwa kule Mbeya, aliwahi kumwambia Hayati Magufuli kuwa anamshukuru sana Magufuli kwa kuwa amempelekea mkurugenzi msichana mrembo sana! Magufuli akamkemea. Hivi urembo wa mtu una mchango gani kiutendaji?

Siku 2 kabla ya Magufuli kutangazwa amefariki, yeye alisema ameongea na Magufuli, yupo wa afya na anawasalimia wananchi wa Mbeya!

Huyu hana sifa hata moja ya uongozi. Ila kwa sababu nchi tumeridhia kuongozwa na vichaa, wendazimu na hata wauaji, ndiyo maana na huyu ni kiongozi, tena wa Dar es Salaam.

Huyu ni wa kupuuzwa. Kwake kauli wala namba hazina maana. 8,000; 100 su hata 80, hakuwezi kuwa na tofauti yeyote. Kutembea, kukimbia au kutambaa, kwake havina yofauti yeyote. Ni mropokaji. Anaropoka chochote kilicho jirani na mdomo wake.

Lakini Rais afahamu kuwa kati ya mambo ambayo majeshi yote Duniani huwa hayako tayari, ni kupuuzwa na kufanywa si chochote, tena na watu wasio na chochote kichwani.
Mwenye masikio na asikie uliyoyasema kwenye post yako hii, mwenye macho Na asome post hii.
Hitimisho ya post yako imemaliza kila kitu. JW iheshimiwe na watu wote.
 
Unapoingizwa Jeshini unavuliwa uraia raia kwenye geti kuu, inashangaza kuona kiranja wa mkoa wa Dar es salaam anataka kuingiza uraia raia jeshini eti kisa, ni mkuu wa kamati ya ulinzi na usalama wa Mkoa....Du!.

Hizi siasa za chama kushika hatamu ndizo zinazotuharibia nchi na kuwa kituko Duniani.
 
Huyu RC, ninaamini kabisa siyo mentally healthy.

Sisi wengine tumeyaishi maisha ya JWTZ kwa kipindi fulani (kikosi cha anga), japo tuliamua kutoendelea. Kama ulivyosema, brigade moja, huwa ina askari kiwango cha chini, askari 5,000. Na huwa ina vikosi kadhaa vinavyounda brigade 1. Huyu anasema eti askari wa TPDF 8,000.

Huyu RC ni mjinga na wa kumpuuza. He had never been serious for anything.

Fikiria kuwa amesema kuwa eti wanaofifisha shuguli za usafi, wakiripotiwa kwake, toka alipoambiwa, ndani ya dakika 5 anakuwa amewashughulikia! Hata kama unashugulikia mambo kwa haraka, je, ni kweli matatizo yanayohitaji sheria na kanuni, unaweza kuyamaliza ndani ya dakika 5?

Kasema kuwa eti anapowafuata wanaokiuka taratibu za usafi anawaendea kwa speed ya ambulance! Hivi RC huwa anaenda kukamata wahalifu mitaani kwa mikono yake?

Wakati akiwa kule Mbeya, aliwahi kumwambia Hayati Magufuli kuwa anamshukuru sana Magufuli kwa kuwa amempelekea mkurugenzi msichana mrembo sana! Magufuli akamkemea. Hivi urembo wa mtu una mchango gani kiutendaji?

Siku 2 kabla ya Magufuli kutangazwa amefariki, yeye alisema ameongea na Magufuli, yupo wa afya na anawasalimia wananchi wa Mbeya!

Huyu hana sifa hata moja ya uongozi. Ila kwa sababu nchi tumeridhia kuongozwa na vichaa, wendazimu na hata wauaji, ndiyo maana na huyu ni kiongozi, tena wa Dar es Salaam.

Huyu ni wa kupuuzwa. Kwake kauli wala namba hazina maana. 8,000; 100 su hata 80, hakuwezi kuwa na tofauti yeyote. Kutembea, kukimbia au kutambaa, kwake havina yofauti yeyote. Ni mropokaji. Anaropoka chochote kilicho jirani na mdomo wake.

Lakini Rais afahamu kuwa kati ya mambo ambayo majeshi yote Duniani huwa hayako tayari, ni kupuuzwa na kufanywa si chochote, tena na watu wasio na chochote kichwani.

Kwa kweli!
 
Back
Top Bottom