RC Chalamila, nenda Mbagala Zakhiem kalifungue soko

Hismastersvoice

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2013
Posts
21,741
Reaction score
26,735
Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, kwanini haukutaka kwenda kwenye soko la Mbagala Zakhiem kulifungua badala yake ukaenda kwenye uwanja wa Mbagala Zakhiem uliopo nusu kilomita kutoka kwenye soko?

Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa nenda Mbagala Zakhiem kalifungue soko kwani wafanyabiashara wa awali mliowaahidi kwa maandishi mtawarudisha kwenye soko wanakusubiri uwakabidhi soko lao.
 
Tatizo la soko la Mbagala Zakhiem linatokana na mkuu wa mkoa na wenzake kuwadharau wafanyabiashara wa awali kuwa hawezi kuganya lolote wakati mkurugenzi aliwapa namba za vizimba kwenye soko hilo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…