RC Chalamila: Rais Samia ndiye ameruhusu Mtume Mwamposa aendelee kuwepo hapa Kawe, tuzidi kumuombea asije tokea Rais mwingine asiyemjua Mungu!

RC Chalamila: Rais Samia ndiye ameruhusu Mtume Mwamposa aendelee kuwepo hapa Kawe, tuzidi kumuombea asije tokea Rais mwingine asiyemjua Mungu!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Mkuu wa Mkoa wa DSM Mh Albert Chalamila amesema Watu Wengi Walitaka mtume Mwamposa aondolewe pale Kawe

"Lakini Rais Samia alinituma nipeleke sadaka yake Kwa Mtume Mwamposa na kuniagiza nimwambie aendelee kubakia hapo Kawe na kuwaponya Watanzania, hivyo tuzidi kumuombea Ili asije kutokea Rais mwingine asiyemjua Mungu wa Mbinguni na kulitesa Kanisa" amefafanua RC Chalamila

Chalamila amesema Yeye mwenyewe alipata uteuzi Muda mfupi baada ya Kutoka kuombewa na Mtume Mwamposa " niliombewa jioni na usiku nikasikia nimeteuliwa kuwa Mkuu wa mkoa wa Kagera"

Source: Arise and Shine TV

Nawatakieni Dominica njema 🌹
 
Mkuu wa Mkoa wa DSM Mh Albert Chalamila amesema Watu Wengi Walitaka mtume Mwamposa aondolewe pale Kawe

"Lakini Rais Samia alinituma nipeleke sadaka yake Kwa Mtume Mwamposa na kuniagiza nimwambie aendelee kubakia hapo Kawe na kuwaponya Watanzania, hivyo tuzidi kumuombea Ili asije kutokea Rais mwingine asiyemjua Mungu wa Mbinguni na kulitesa Kanisa" amefafanua RC Chalamila

Chalamila amesema Yeye mwenyewe alipata uteuzi Muda mfupi baada ya Kutoka kuombewa na Mtume Mwamposa " niliombewa jioni na usiku nikasikia nimeteuliwa kuwa Mkuu wa mkoa wa Kagera"

Source: Arise and Shine TV

Nawatakieni Dominica njema 🌹
Pamoja na yanga/simba na wasanii
 
Mkuu wa Mkoa wa DSM Mh Albert Chalamila amesema Watu Wengi Walitaka mtume Mwamposa aondolewe pale Kawe

"Lakini Rais Samia alinituma nipeleke sadaka yake Kwa Mtume Mwamposa na kuniagiza nimwambie aendelee kubakia hapo Kawe na kuwaponya Watanzania, hivyo tuzidi kumuombea Ili asije kutokea Rais mwingine asiyemjua Mungu wa Mbinguni na kulitesa Kanisa" amefafanua RC Chalamila

Chalamila amesema Yeye mwenyewe alipata uteuzi Muda mfupi baada ya Kutoka kuombewa na Mtume Mwamposa " niliombewa jioni na usiku nikasikia nimeteuliwa kuwa Mkuu wa mkoa wa Kagera"

Source: Arise and Shine TV

Nawatakieni Dominica njema 🌹
Daaah tutafanyaje hawa ndo viongozi wetu
 
Mkuu wa Mkoa wa DSM Mh Albert Chalamila amesema Watu Wengi Walitaka mtume Mwamposa aondolewe pale Kawe

"Lakini Rais Samia alinituma nipeleke sadaka yake Kwa Mtume Mwamposa na kuniagiza nimwambie aendelee kubakia hapo Kawe na kuwaponya Watanzania, hivyo tuzidi kumuombea Ili asije kutokea Rais mwingine asiyemjua Mungu wa Mbinguni na kulitesa Kanisa" amefafanua RC Chalamila

Chalamila amesema Yeye mwenyewe alipata uteuzi Muda mfupi baada ya Kutoka kuombewa na Mtume Mwamposa " niliombewa jioni na usiku nikasikia nimeteuliwa kuwa Mkuu wa mkoa wa Kagera"

Source: Arise and Shine TV

Nawatakieni Dominica njema 🌹
Dini kweli tumeletewa lakini huyu Chalamila ni mkuu wa mkoa mbona kazidisha ujinga sana !!!hii sio kawaida
 
Serikali ya Tanzania haina dini. Biashara ya Mwamposa na wengine wanaofanana ni zao pamoja na wateja wao akiwemo Chalamila.
 
Kwamba huyu Raisi anamjua Mungu wa Mwamposa?Hivi kwa nini siasa zinaendeshwa kwa hila hivi?Raisi mwenye busara na anayemjua Mungu kweli ndiye atakayethubutu kuweka mipaka kwa Watu aina ya Mwamposa.Hii bidii ya ku mpromote ni ili Watu waachane na imani zao nyingine waje huko ama?.Huyo anayesema anaponya yeye siku anaugua anakimbilia India au Ulaya hivyo hizo promotion zote zinazifanywa na Wanasiasa hakika Walengwa ni sisi Wenzangu na mie, wao wakiugua hutawaona wakienda kuombewa.Hawafanyi haya kwa bahati mbaya wanajua wanachokifanya.
 
Back
Top Bottom