Mkuu wa mkoa wa DSM Albert Chalamila amewaomba wananchi wa Dar kuwa wakarimu Kwa wageni wetu
RC Chalamila amesema Wingi wa police mitaani ni katika kuimarisha Ulinzi lakini wananchi wasiwe na wasiwasi
Mkutano utarushwa mubashara na tv zote nchini
Ahsanteni sana 😄