RC Chalamila: Wazazi wa Dar es Salaam acheni mzaha, mnaharibu watoto

RC Chalamila: Wazazi wa Dar es Salaam acheni mzaha, mnaharibu watoto

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila amewataka wazazi mkoani humo kuacha mizaha na watoto wao.

Chalamila ametoa mfano wa mama mmoja mwenye watoto Watatu wa kiume ambao alikuwa hawapi kitu chochote wanapokwenda shule na sasa Wavulana hao Watatu Wote wamethibitika kuwa ni Mashoga

Source: Jambo TV
 
Mkuu wa Mkoa wa DSM Dr Albert Chalamila amewataka Wazazi mkoani humo kuacha mizaha na watoto wao

Chalamila ametoa mfano wa mama mmoja mwenye watoto Watatu wa kiume ambao alikuwa hawapi kitu chochote wanapokwenda shule na sasa Wavulana hao Watatu Wote wamethibitika kuwa ni Mashoga

Source Jambo TV

Jumaa Mubarak
Duh.........😎
 
Kwa hiyo chala man anawajua mashoga wote na wazazi wao jijini dar!? Ishu ya kuwapa watoto hela ya kula kula shuleni inategemeana na kipato cha wazazi. Hao watoto walijiingiza huko kwa tamaa zao za kupata hela kwa kubunyuliwa msambweni wakaina si shida maadamu wanapewa hela
 
Mkuu wa Mkoa wa DSM Dr Albert Chalamila amewataka Wazazi mkoani humo kuacha mizaha na watoto wao

Chalamila ametoa mfano wa mama mmoja mwenye watoto Watatu wa kiume ambao alikuwa hawapi kitu chochote wanapokwenda shule na sasa Wavulana hao Watatu Wote wamethibitika kuwa ni Mashoga

Source Jambo TV

Jumaa Mubarak
Kuna mada hapa niliweka nikaishia kushambuliwa kuwa na support mashoga ila hawa kuelewa nilicho kuwa naeleza
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila amewataka wazazi mkoani humo kuacha mizaha na watoto wao.

Chalamila ametoa mfano wa mama mmoja mwenye watoto Watatu wa kiume ambao alikuwa hawapi kitu chochote wanapokwenda shule na sasa Wavulana hao Watatu Wote wamethibitika kuwa ni Mashoga

Source: Jambo TV
Huo ni ujinga!

Kumpa pesa mtoto sio ku mshape kitabia!!

Hao watoto walishindwa kunywa uji asubuhi hata mkavu bila sukari wakasoma!!?

Tuache kulea ujinga,pesa sio malezi Kwa mtoto!
Chalamila aache uhuni was kuhalalisha ujinga!

Tamaa ya MTU Haina mwisho !ukimpa Hela ya kula kesho atataka baiskeli,keshokutwa bajaji je atauza uanaume ili apate bajaji
 
Hii mikoa ni changamoto sana kwenye kukorogwa VIMA
1. Zanzibar
2. Dar
3. Tanga
4. Pwani.
 

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila amewataka wazazi mkoani humo kuacha mizaha na watoto wao.

Chalamila ametoa mfano wa mama mmoja mwenye watoto Watatu wa kiume ambao alikuwa hawapi kitu chochote wanapokwenda shule na sasa Wavulana hao Watatu Wote wamethibitika kuwa ni Mashoga

Source: Jambo TV
Yupo sahihi
 

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila amewataka wazazi mkoani humo kuacha mizaha na watoto wao.

Chalamila ametoa mfano wa mama mmoja mwenye watoto Watatu wa kiume ambao alikuwa hawapi kitu chochote wanapokwenda shule na sasa Wavulana hao Watatu Wote wamethibitika kuwa ni Mashoga

Source: Jambo TV
Ni Shoga TU ndie anaeweza kujua signal za Mashoga wenzie nachelewa kusema Chalamila na yeye apimwe Malinda
 
Daslam mna RC jinga haijawahi tokea
Baada akomae vijana hawana Ajira jinsi gani awatengenezee channel za kupata mikopo anaanza kukomaa na ushoga maana yake na yeye ni Shoga apimwe Malinda kwanza
 
Back
Top Bottom