johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mkuu wa mkoa wa Singida mh Halima Dendegu amewataka Wananchi kujitokeza kupiga Kura 27 November kuchagua viongozi wa Serikali za Mitaa
RC Halima amesema Kupiga Kura ni swala lililoanzishwa na Mungu mwenyewe na hata Hadithi za Dini yake zinasema Mtume Muhammad SAW alipotaka kusafiri Wakeze Walipiga Kura kuamua aongozane na nani miongoni mwao Wanne
Hivyo RC Halima amesema muasisi wa Kura na Uchaguzi ni Mungu mwenyewe
RC Halima Dendegu ameyasema haya Kanisani mbele ya Mkuu wa KKKT askofu Dr Malasusa, askofu Dr Bagonza, askofu Dr Shoo na maaskofu wengine zaidi ya 40
Aidha Waumini wa KKKT Dayosisi ya Singida Central Walimtuza Fedha Mtumishi huyo RC Halima Dendegu ambaye naye alimkabidhi askofu Dr Malasusa na kusema huo ni Mchango wake kwa Kanisa japo Kiimani Yeye ni Muislamu
Source Upendo Tv
Nawatakia Dominica Njema 🌹
RC Halima amesema Kupiga Kura ni swala lililoanzishwa na Mungu mwenyewe na hata Hadithi za Dini yake zinasema Mtume Muhammad SAW alipotaka kusafiri Wakeze Walipiga Kura kuamua aongozane na nani miongoni mwao Wanne
Hivyo RC Halima amesema muasisi wa Kura na Uchaguzi ni Mungu mwenyewe
RC Halima Dendegu ameyasema haya Kanisani mbele ya Mkuu wa KKKT askofu Dr Malasusa, askofu Dr Bagonza, askofu Dr Shoo na maaskofu wengine zaidi ya 40
Aidha Waumini wa KKKT Dayosisi ya Singida Central Walimtuza Fedha Mtumishi huyo RC Halima Dendegu ambaye naye alimkabidhi askofu Dr Malasusa na kusema huo ni Mchango wake kwa Kanisa japo Kiimani Yeye ni Muislamu
Source Upendo Tv
Nawatakia Dominica Njema 🌹