LGE2024 RC Halima Dendegu: Kupiga Kura ni swala la Kiimani Mtume Muhammad SAW alikuwa na Wake 4 na kila anaposafiri Wakeze Walipiga Kura aende na yupi!

LGE2024 RC Halima Dendegu: Kupiga Kura ni swala la Kiimani Mtume Muhammad SAW alikuwa na Wake 4 na kila anaposafiri Wakeze Walipiga Kura aende na yupi!

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Mkuu wa mkoa wa Singida mh Halima Dendegu amewataka Wananchi kujitokeza kupiga Kura 27 November kuchagua viongozi wa Serikali za Mitaa

RC Halima amesema Kupiga Kura ni swala lililoanzishwa na Mungu mwenyewe na hata Hadithi za Dini yake zinasema Mtume Muhammad SAW alipotaka kusafiri Wakeze Walipiga Kura kuamua aongozane na nani miongoni mwao Wanne

Hivyo RC Halima amesema muasisi wa Kura na Uchaguzi ni Mungu mwenyewe

RC Halima Dendegu ameyasema haya Kanisani mbele ya Mkuu wa KKKT askofu Dr Malasusa, askofu Dr Bagonza, askofu Dr Shoo na maaskofu wengine zaidi ya 40

Aidha Waumini wa KKKT Dayosisi ya Singida Central Walimtuza Fedha Mtumishi huyo RC Halima Dendegu ambaye naye alimkabidhi askofu Dr Malasusa na kusema huo ni Mchango wake kwa Kanisa japo Kiimani Yeye ni Muislamu

Source Upendo Tv

Nawatakia Dominica Njema 🌹
 
Mkuu wa mkoa wa Singida mh Halima Dendegu amewataka Wananchi kujitokeza kupiga Kura 27 November kuchagua viongozi wa Serikali za Mitaa

RC Halima amesema Kupiga Kura ni swala lililoanzishwa na Mungu mwenyewe na hata Hadithi za Dini yake zinasema Mtume Muhammad SAW alipotaka kusafiri Wakeze Walipiga Kura kuamua aongozane na nani miongoni mwao Wanne

Hivyo RC Halima amesema muasisi wa Kura na Uchaguzi ni Mungu mwenyewe

RC Halima Dendegu ameyasema haya Kanisani mbele ya Mkuu wa KKKT askofu Dr Malasusa, askofu Dr Bagonza, askofu Dr Shoo na maaskofu wengine zaidi ya 40

Aidha Waumini wa KKKT Dayosisi ya Singida Central Walimtuza Fedha Mtumishi huyo RC Halima Dendegu ambaye naye alimkabidhi askofu Dr Malasusa na kusema huo ni Mchango wake kwa Kanisa japo Kiimani Yeye ni Muislamu

Source Upendo Tv

Nawatakia Dominica Njema 🌹
 

Attachments

  • Screenshot_2024-07-16-21-00-20-1.png
    Screenshot_2024-07-16-21-00-20-1.png
    420.8 KB · Views: 3
Mkuu wa mkoa wa Singida mh Halima Dendegu amewataka Wananchi kujitokeza kupiga Kura 27 November kuchagua viongozi wa Serikali za Mitaa

RC Halima amesema Kupiga Kura ni swala lililoanzishwa na Mungu mwenyewe na hata Hadithi za Dini yake zinasema Mtume Muhammad SAW alipotaka kusafiri Wakeze Walipiga Kura kuamua aongozane na nani miongoni mwao Wanne

Hivyo RC Halima amesema muasisi wa Kura na Uchaguzi ni Mungu mwenyewe

RC Halima Dendegu ameyasema haya Kanisani mbele ya Mkuu wa KKKT askofu Dr Malasusa, askofu Dr Bagonza, askofu Dr Shoo na maaskofu wengine zaidi ya 40

Aidha Waumini wa KKKT Dayosisi ya Singida Central Walimtuza Fedha Mtumishi huyo RC Halima Dendegu ambaye naye alimkabidhi askofu Dr Malasusa na kusema huo ni Mchango wake kwa Kanisa japo Kiimani Yeye ni Muislamu

Source Upendo Tv

Nawatakia Dominica Njema 🌹
Huyu si alikuwa barmaid dini kaijulia wapi tena?
 
Uçhaguzi wa serikali za mitaa añafananisha na uamuzi wa mke gani aongozàne na Muhammad kweli? Muhammad hakuhitaji uçhaguzi wa wàke zake maana alikuwa nà uwezo wa kuongozana na wote 9 na hakunà wa kuhoji.
 
😅😅😅

Hivi why hawanaga sababu nzuri za nini wananchi watafaidika na nini iwe nini?
 
RC Halima amesema Kupiga Kura ni swala lililoanzishwa na Mungu mwenyewe na hata Hadithi za Dini yake zinasema Mtume Muhammad SAW alipotaka kusafiri Wakeze Walipiga Kura kuamua aongozane na nani miongoni mwao Wanne

Hivyo RC Halima amesema muasisi wa Kura na Uchaguzi ni Mungu mwenyewe

Sasa kwa nini wanaiba kura kupotosha matokeo kama wanajua kuwa muasisi wa utaratibu wenye kupelekea matokeo ya uhalali ni Mungu!

Hivi huwa wakiongea haya, hakuna watu wa kuwauliza maswali?
 
Back
Top Bottom