RC Homera kuongoza maadhimisho siku ya wanawake mkoani Mbeya

RC Homera kuongoza maadhimisho siku ya wanawake mkoani Mbeya

BWANKU M BWANKU

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2019
Posts
377
Reaction score
435
Kuelekea Siku ya Wanawake Duniani Machi 08, 2025, Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe. Juma Zuberi Homera atakuwa Mgeni rasmi katika Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani ambayo Kimkoa wa Mbeya yatafanyika Wilaya ya Kyela pale Kipija Arena siku ya Ijumaa Machi 07, 2025. Nyooote mnakaribishwa.

*Kauli Mbiu: Wanawake na Wasichana 2025: Tuimarishe Haki, Usawa na Uwezeshaji.

IMG-20250305-WA0000.jpg
 
Back
Top Bottom