BWANKU M BWANKU
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 377
- 435
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe. Juma Homera atafanya ziara wilayani Mbarali kesho Jumatano Juni 07, 2023 ambapo atakagua mradi wa umwagiliaji wa Uturo Isenyela wenye thamani ya Bilioni 13.9, kusikiliza na kutatua kero za wananchi wa Mapogolo, kufanya kikao cha Baraza la Madiwani kujadili taarifa ya hesabu za CAG pamoja na kuongea na Waheshimiwa madiwani.
Fuatilia ziara hii nzima kupitia mitandao ya kijamii ya Facebook, Twitter na Instagram ya Mbeya Rs Digital.
Fuatilia ziara hii nzima kupitia mitandao ya kijamii ya Facebook, Twitter na Instagram ya Mbeya Rs Digital.