LGE2024 RC Katavi, Mwanamvua Mrindoko: Tendeni Haki na Usawa kwa Vyama vyote kulingana na Kura vitakavyopigwa

LGE2024 RC Katavi, Mwanamvua Mrindoko: Tendeni Haki na Usawa kwa Vyama vyote kulingana na Kura vitakavyopigwa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko amewataka wadau wa uchaguzi kuendelea kuzingatia sheria, kanuni, taratibu na miongozo mbalimbali iliyowekwa kwaajili ya Kusimamia shughuli za uchaguzi wa serikali za mitaa.

Mrindoko ameyasema hayo wakati akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake ambapo ameendelea kuwasihi wasimamizi wa uchaguzi kutenda haki kwa vyama vyote hasa kwenye ushindi kwanamna ambavyo wananchi watapiga kura.


TARRIFA MIKOA MINGINE SOMA
- LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
 
Naskia wana katavi wamekubaliana kuwa atakae kataa kutenda Haki na usawa wata mroga na kumpondwa mawe mpka kifo
 
Tanzania lazima igeuke. Kwa mujibu wa uhalali wa kupiga kura, kura zihesabiwa na kutangazwa kutoka vituoni vya kupiga kura. Vyenginevo ni wizi.
 
Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko amewataka wadau wa uchaguzi kuendelea kuzingatia sheria, kanuni, taratibu na miongozo mbalimbali iliyowekwa kwaajili ya Kusimamia shughuli za uchaguzi wa serikali za mitaa.

Mrindoko ameyasema hayo wakati akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake ambapo ameendelea kuwasihi wasimamizi wa uchaguzi kutenda haki kwa vyama vyote hasa kwenye ushindi kwanamna ambavyo wananchi watapiga kura.
View attachment 3161598

TARRIFA MIKOA MINGINE SOMA
- LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Sidhani kama atatoboa December.. BTW Wapare ni wapenda haki sana.. Huyu mama ni mfano mmojawapo
 
Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko amewataka wadau wa uchaguzi kuendelea kuzingatia sheria, kanuni, taratibu na miongozo mbalimbali iliyowekwa kwaajili ya Kusimamia shughuli za uchaguzi wa serikali za mitaa.

Mrindoko ameyasema hayo wakati akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake ambapo ameendelea kuwasihi wasimamizi wa uchaguzi kutenda haki kwa vyama vyote hasa kwenye ushindi kwanamna ambavyo wananchi watapiga kura.
View attachment 3161598

TARRIFA MIKOA MINGINE SOMA
- LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Apewe maua yake kwa kupasua ukweli, sio kutetea u chama chama na kubeba mijitu isiyobebeka.
 
Back
Top Bottom