Kuna comments huwa nazisoma halafu najiuliza hivi Mungu aliyetupa ubongo/brain sawa na races nyingine kama wazungu, wachina, Wahindi etc ni wa kulaumiwa kweli? Profesa wa genetics aitwaye Witson aliwahi kuandika kwenye moja ya machapisho yake kwamba of all races in the world Waafrika ndiyo the most inferior, mwanzoni nilimchukia sana huyu bwana but kila ninapoona watu kama mleta comments na wengine wengi tuu, naanza kuona kwamba huyu profesa anaweza kuwa sahihi.