Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,404
- 6,969
Inashangaza watu unakomaa kukanusha habari za wamachinga kulazimishwa kufunga maduka ili washiriki maombolezo ya kitaifa huku unaacha kukanusha kama kweli au si kweli watu 45 wamefariki na wengine mamia kujeruhiwa.
Huu sio wakati wa kuacha kuwapa Watanzania ukweli juu ya nini kinaendelea hapa nchini please nenda na matukio na wakati.
Huu sio wakati wa kuacha kuwapa Watanzania ukweli juu ya nini kinaendelea hapa nchini please nenda na matukio na wakati.