Asiye na Chama
JF-Expert Member
- Dec 1, 2017
- 1,269
- 653
Hivi waliletwa na nani?Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Amos Makalla ameingia Kariakoo kwa kutumia basi la Mwendokasi (haijulikani alikotokea) na kutoa Maagizo kwamba baada ya siku 7 njia zote za watembea kwa miguu kwenye eneo hilo ambazo zimejaa wamachinga, mama lishe, wachoma mihogo na wauza Alikasusi ziwe wazi.
Haijulikani ni wapi wamachinga hao watapelekwa.
Sio mkazi wa eneo hilo huwa naenda kwa ndugu na jamaaMnaishije huko? Njooni uzunguni huku Arusha hakuna hizo kero. I feel so sorry for you.
Ooohh ila Dar kiujumla ni pabaya sana. Wakazi wa huko huwa nawahurumia sana.Sio mkazi wa eneo hilo huwa naenda kwa ndugu na jamaa
Karibu Dar wewe acha uwogaOoohh ila Dar kiujumla ni pabaya sana. Wakazi wa huko huwa nawahurumia sana.
Dar mimi nikija ni kwa siku kadhaa tu nakusepa sio kuishi. Kuna kero sana huko.Karibu dar wewe acha uwoga
Kuna maeneo yapo njema mkuu sio dar yote😀Dar mimi nikija ni kwa siku kadhaa tu nakusepa sio kuishi. Kuna kero sana huko.
Asante mods kwa kuweka hili sawa.Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Amos Makalla ameingia Kariakoo kwa kutumia basi la Mwendokasi (haijulikani alikotokea) na kutoa Maagizo kwamba baada ya siku 7 njia zote za watembea kwa miguu kwenye eneo hilo ambazo zimejaa wamachinga, mama lishe, wachoma mihogo na wauza Alikasusi ziwe wazi.
Haijulikani ni wapi wamachinga hao watapelekwa.
=======
RC MAKALLA: MARUFUKU MACHINGA KUFANYA BIASHARA KWENYE NJIA ZA WATEMBEA KWA MIGUU.
- Asema agizo hilo ni kwa Wafanyabiashara Mkoa mzima.
- Amtaka DC Ilala na Uongozi wa Machinga kuweka utaratibu mzuri kuwapanga Machinga Kariakoo.
- Awapo mbinu ya kufunga baadhi ya Mitaa Kariakoo kwaajili ya kufanya Biashara.
- Wamachinga wakiri kuingilia maeneo ya watembea kwa miguu na kuahidi kuhama.
- Aeleza dhamira yake ya kuboresha mandhari ya Dar es salaam.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla amepiga marufuku ufanyaji wa Biashara Kwenye maeneo hifadhi ya barabara zote za Mkoa huo baada ya utaratibu huo kuwa chanzo cha uvunjifu wa amani na ongezeko la ajali.
RC Makalla ametoa maelekezo hayo alipotembelea Soko la Kariakoo na kujionea Kero ya Ufanyaji biashara holela Kwenye maeneo ya watembea kwa miguu.
Kutokana na hilo RC Makalla amewaelekeza Mkuu wa Wilaya ya Ilala kufanya kikao na Wafanyabiashara hao Jumatatu ya *September 13 na kuainisha maeneo ya kuwapeleka wote waliovamia hifadhi ya Barabara.
Aidha RC Makalla amewaelekeza Kuangalia utaratibu mzuri wa kufunga na kufungua baadhi ya Mitaa Kariakoo kwaajili ya kufanya biashara Kutokana na ufinyu wa maeneo ili Waweze kupata riziki.
Hata hivyo RC Makalla amesema kwa tathimini aliyofanya amebaini Hali ya Ufanyaji biashara holela Dar es salaam ipo kwa kiwango kikubwa na kuwanyima watembea miguu haki zao za msingi.
Pamoja na hayo RC Makalla ameelekeza Manispaa zote za Mkoa huo kuweka Vibao vya kuzuia biashara Kwenye maeneo ya watembea kwa miguu.
Makala dc wa Dar! Samia alipigiwa kura na wamachinga! Yesu alitembea na mke wake!Jamani namuuliza huyo Makala dc wa dar, hivyo vitambulisho mulivyowapitia wamachinga, wewe huvutambui? au wataka kupingana na mwendazake kwakuwa alikutumbua? hivyo wataka kumalizia hasita zako kwa wamachinga?? Mwendazake alisema wasiguswe ni wapiga kura wake, wewe wamachinga hawakuhusu?? Huyu Samia aliyekurudisha. alipigiwa kura na hao hao unaowafukuza.
Kufanya biashara eneo lisilo sahihi ni uvunjifu wa sheria. Kosa wanalo tayariNi vema hao walioko kwenye hifadhi ya bara bara mkawaacha, hao walipanga bizaa zao barabarani waelimushe, sio kuwafukuza!! Ukiwafukuza. Unatengeneza kundi la waharifu!!
Unamanisha nini mkuu?Makala dc wa Dar! Samia alipigiwa kura na wamachinga! Yesu alitembea na mke wake!
Hilo najua. Mimi kero yangu kubwa Dar ni joto. Hilo nadhani ni pote. Then kama hauna usafiri binafsi kwenye usafiri wa public ni hovyo sana sio daladala wala mwendokasi.Kuna maeneo yapo njema mkuu sio dar yote😀
Kuna ka ukweli kwa mbali mkuuHilo najua. Mimi kero yangu kubwa Dar ni joto. Hilo nadhani ni pote. Then kama hauna usafiri binafsi kwenye usafiri wa public ni hovyo sana sio daladala wala mwendokasi.
Kama huelewi, basi wewe ni tatizo kubwa Zaidi!Kwanini bwashee?!
Tembelea POSTA mpaka MAGOGONI ni Uchafu mtupuMkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Amos Makalla ameingia Kariakoo kwa kutumia basi la Mwendokasi (haijulikani alikotokea) na kutoa Maagizo kwamba baada ya siku 7 njia zote za watembea kwa miguu kwenye eneo hilo ambazo zimejaa wamachinga, mama lishe, wachoma mihogo na wauza Alikasusi ziwe wazi.
Haijulikani ni wapi wamachinga hao watapelekwa.
=======
View attachment 1930594
RC MAKALLA: MARUFUKU MACHINGA KUFANYA BIASHARA KWENYE NJIA ZA WATEMBEA KWA MIGUU.
- Asema agizo hilo ni kwa Wafanyabiashara Mkoa mzima.
- Amtaka DC Ilala na Uongozi wa Machinga kuweka utaratibu mzuri kuwapanga Machinga Kariakoo.
- Awapo mbinu ya kufunga baadhi ya Mitaa Kariakoo kwaajili ya kufanya Biashara.
- Wamachinga wakiri kuingilia maeneo ya watembea kwa miguu na kuahidi kuhama.
- Aeleza dhamira yake ya kuboresha mandhari ya Dar es salaam.
View attachment 1930596
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla amepiga marufuku ufanyaji wa Biashara Kwenye maeneo hifadhi ya barabara zote za Mkoa huo baada ya utaratibu huo kuwa chanzo cha uvunjifu wa amani na ongezeko la ajali.
RC Makalla ametoa maelekezo hayo alipotembelea Soko la Kariakoo na kujionea Kero ya Ufanyaji biashara holela Kwenye maeneo ya watembea kwa miguu.
Kutokana na hilo RC Makalla amewaelekeza Mkuu wa Wilaya ya Ilala kufanya kikao na Wafanyabiashara hao Jumatatu ya *September 13 na kuainisha maeneo ya kuwapeleka wote waliovamia hifadhi ya Barabara.
Aidha RC Makalla amewaelekeza Kuangalia utaratibu mzuri wa kufunga na kufungua baadhi ya Mitaa Kariakoo kwaajili ya kufanya biashara Kutokana na ufinyu wa maeneo ili Waweze kupata riziki.
Hata hivyo RC Makalla amesema kwa tathimini aliyofanya amebaini Hali ya Ufanyaji biashara holela Dar es salaam ipo kwa kiwango kikubwa na kuwanyima watembea miguu haki zao za msingi.
Pamoja na hayo RC Makalla ameelekeza Manispaa zote za Mkoa huo kuweka Vibao vya kuzuia biashara Kwenye maeneo ya watembea kwa miguu.
View attachment 1930600
Angalizo watolewe kwa kwenda kupewa maeneo sio kuwatoa kihuni masoko yapo mengi na yapo wazi sanaChadema watageuka watetezi wa machinga na ndiyo hapo Amoss Makala atafukuzwa ukuu wa mkoa.
MkuuMkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Amos Makalla ameingia Kariakoo kwa kutumia basi la Mwendokasi (haijulikani alikotokea) na kutoa Maagizo kwamba baada ya siku 7 njia zote za watembea kwa miguu kwenye eneo hilo ambazo zimejaa wamachinga, mama lishe, wachoma mihogo na wauza Alikasusi ziwe wazi.
Haijulikani ni wapi wamachinga hao watapelekwa.
=======
View attachment 1930594
RC MAKALLA: MARUFUKU MACHINGA KUFANYA BIASHARA KWENYE NJIA ZA WATEMBEA KWA MIGUU.
- Asema agizo hilo ni kwa Wafanyabiashara Mkoa mzima.
- Amtaka DC Ilala na Uongozi wa Machinga kuweka utaratibu mzuri kuwapanga Machinga Kariakoo.
- Awapo mbinu ya kufunga baadhi ya Mitaa Kariakoo kwaajili ya kufanya Biashara.
- Wamachinga wakiri kuingilia maeneo ya watembea kwa miguu na kuahidi kuhama.
- Aeleza dhamira yake ya kuboresha mandhari ya Dar es salaam.
View attachment 1930596
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla amepiga marufuku ufanyaji wa Biashara Kwenye maeneo hifadhi ya barabara zote za Mkoa huo baada ya utaratibu huo kuwa chanzo cha uvunjifu wa amani na ongezeko la ajali.
RC Makalla ametoa maelekezo hayo alipotembelea Soko la Kariakoo na kujionea Kero ya Ufanyaji biashara holela Kwenye maeneo ya watembea kwa miguu.
Kutokana na hilo RC Makalla amewaelekeza Mkuu wa Wilaya ya Ilala kufanya kikao na Wafanyabiashara hao Jumatatu ya *September 13 na kuainisha maeneo ya kuwapeleka wote waliovamia hifadhi ya Barabara.
Aidha RC Makalla amewaelekeza Kuangalia utaratibu mzuri wa kufunga na kufungua baadhi ya Mitaa Kariakoo kwaajili ya kufanya biashara Kutokana na ufinyu wa maeneo ili Waweze kupata riziki.
Hata hivyo RC Makalla amesema kwa tathimini aliyofanya amebaini Hali ya Ufanyaji biashara holela Dar es salaam ipo kwa kiwango kikubwa na kuwanyima watembea miguu haki zao za msingi.
Pamoja na hayo RC Makalla ameelekeza Manispaa zote za Mkoa huo kuweka Vibao vya kuzuia biashara Kwenye maeneo ya watembea kwa miguu.
View attachment 1930600