RC Makalla ungeanza kuboresha stendi zenu (serikali) za daladala pale Kariakoo kisha ndio uhamie stendi binafsi

RC Makalla ungeanza kuboresha stendi zenu (serikali) za daladala pale Kariakoo kisha ndio uhamie stendi binafsi

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Pale Kariakoo Stendi za Daladala ziendazo Tegeta, Makumbusho, Kawe na Mabibo ziko barabarani na zinaziba biashara za watu

Ni vema RC Makalla ukarekebisha hizo kwanza kabla ya kuwahamisha akina Shabiby na ABC kule Manzese

Ni ushauri tu
 
Back
Top Bottom