Pre GE2025 RC Makonda aitahadharisha CCM; "Msitulaumu wakati wa Uchaguzi mambo yakiwa Mabaya, tupeni Ushirikiano sasa"

Pre GE2025 RC Makonda aitahadharisha CCM; "Msitulaumu wakati wa Uchaguzi mambo yakiwa Mabaya, tupeni Ushirikiano sasa"

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Mkuu wa Mkoa wa Arusha mh Paul Makonda amewataka Viongozi wa CCM kuzunguka kona zote na kuwaletea Taarifa za Viongozi wabovu na wezi Ili wawashughulikie kungali Mapema

" Msije kutulaumu wakati wa Uchaguzi mambo yakiwa Mabaya" ameonya Makonda

Mwenyekiti wa CCM Komredi Sabaya amemuhakikishia Chama kitampelekea mh RC Makonda taarifa zote za uozo Hata zile zilizojoficha ndani ndani Kabisa ili CCM isipepesuke wakati wa Uchaguzi

Chanzo: Jambo TV
 
CCM muda wake umeisha. 2025 ni kuelekea kibra tu, hata wakiiba kuna majimbo mengi sana watapoteza.

Wabunge wengi hamna cha kuwaambia raia wake, hata akifanya kampeni hana content. Wengi wamekubali kuachia ngazi
 
Mkuu wa Mkoa wa Arusha mh Paul Makonda amewataka Viongozi wa CCM kuzunguka kona zote na kuwaletea Taarifa za Viongozi wabovu na wezi Ili wawashughulikie kungali Mapema

" Msije kutulaumu wakati wa Uchaguzi mambo yakiwa Mabaya" ameonya Makonda

Mwenyekiti wa CCM Komredi Sabaya amemuhakikishia Chama kitampelekea mh RC Makonda taarifa zote za uozo Hata zile zilizojoficha ndani ndani Kabisa Ili CCM isipepesuke wakati wa Uchaguzi

Source Jambo TV
Majambazi wawili katika ubora wao
 
Back
Top Bottom