Unechanganya habari kabisaaaaa,yaani uko nje ya phase!Watanzania kweli tumefikia pabaya badala ya kumuamini mungu aliyetuumba eti tunamwamini mangi kimambi
Iko wapVideo Bashite ALIVYOWAVAMIA Shilawaduuu
Ngoja niwahi nikale ubuyu.....
mange kimambi kiboko ya gwajimaaa hahahah movie inazidi kuwa tamu
Suala sio kumuamini mange video ipo na makonda kaonekana anaingia na wanajeshi.....ila mange kiboko nahisi clouds wameiachia makusudi video baada ya mange kutishia kumwaga siri za maboss wa clouds!! Ila makonda ni kilazaaaa anajiona rais wa hii nchi au yaan nazidi kumchukiaWatanzania kweli tumefikia pabaya badala ya kumuamini mungu aliyetuumba eti tunamwamini mangi kimambi
Gwajima tena?mange kimambi kiboko ya gwajimaaa hahahah movie inazidi kuwa tamu
Hizi story zina pande mbili...Mange na Daudi......Nikiitafsiri kauli yako unamaanisha unaamini kabisa Daudi ndo mungu aliyekuumba.....AstaghfirullahWatanzania kweli tumefikia pabaya badala ya kumuamini mungu aliyetuumba eti tunamwamini mangi kimambi
Video Bashite ALIVYOWAVAMIA Shilawaduuu
Nimeona kuna njemba moja imeshikilia mtutu halafu kala gwanda la jeshi,mwingine kapiga jezi za polisi ana V tatu ni sajenti wa polisi huyu.Hii habari nilikuwa siiamani lakini sasa clip teyari iko kwenye Instagram ya Mange Kimambi na amei-post muda si mrefu.
Haya ni mambo ya ajabu sana kwakweli.
Unaachaje kumwamin wakat anatoa kitu na box!!!Watanzania kweli tumefikia pabaya badala ya kumuamini mungu aliyetuumba eti tunamwamini mangi kimambi
SureC programming badili ID unaidhalilisha
Wacheni kelele tunnamtaka mkemia
Watanzania kweli tumefikia pabaya badala ya kumuamini mungu aliyetuumba eti tunamwamini mangi kimambi