Duuu.. SijakuelewaFirigisi ni shida... Na siku zote ni tamu na laini...
Maana footage ndio ungekuwa ubuyu mwanana sana hapa!I see..
Imbombo ngafu......
Tupeni footage ili tuone na tuthibitishe, isije ukawa unamsingizia mkuu wetu wa mkoa..
Ni bashite alijaza kadi ya kliniki mwenyewe,muandiko wake ila hakujaza jina na chanjo zilitakiwa ziishe tar 15 yeye kaweka u bashite zikafika 19...zero ni zero,watu kama hawa ndo wanafanya wasukuma waonekanage washamba washamba.
Mbona herufi zafanana
Frankly lemutuz should hv respect to his age...ni babu yule..kibabuu...but he still let his big big tummy dictate him..[emoji3][emoji3][emoji3]...Le-Mutuz kwa sasa limejikita kwa Makonda saa 24 linazunguka zunguka kwake kuokota chochote ni jitu lisilojitambua kwa kiasi kikubwa sana.
Hata kama halikutokea?Lisemwalo lipo wakuu
Hahahaha kwa kwelView attachment 483065 ukifariki kipindi hiki utamiss mengi Sana