RC Makonda avamia Clouds na kuwatisha SHILAWADU

kama kuna video footage basi Bashite yupo in trouble!
Njaa zinakuvuruga, na mwisho wa Maisha ya mwajiri wako ni april pale mjengoni

 
Sawa le mutuz
 
Ni kashfa kubwa kuwahi kutokea ktk historia ya nchi hii mkuu wa mkoa kuvamia chombo cha habari akiwa vikosi vya ulinzi na usalama na kufanya fujo studio, mamlka zinazousika tukianzia na chama cha mapinduzi, wizara uhusika na TCRA zitatoa tamko gani, lkn kote uku tusingefika kama hatua stahiki zingechukuliwa mapema.
 
Naona Mange kaposti extended version video. ikionyesha askari zaidi wakiingia

hii Vita imefika patamu sana.
 

baada ya ushahidi kuwekwa nadhani ni uungwana ukaomba samahani!
 
kwa kweli nahitaji kujua LeMutuz ana akili timamu au vipi. maana naona amesimama kidete eti anapinga hii video anasema RC alikiwa na walinzi wake wa kawaida kabisa
 
Mch. Gwajima: Albert Daudi Bashite
alipata ZERO Kidato cha Nne na
kila somo alipata F! Wiki ijayo
nzima ntakuwa kazini dhidi yake
 
Kwa Mara ya Kwanza nimeanza kuamini kuwa JF ni Mtandao Makini Kabisa, Mimi ni Mfanyakazi wa Clouds Media Group, Nipo Marketing department. Mwanzo Tulikua tumezuiwa kueleza Ukweli wa Hili Jambo, lakini Kutoka na Maadili ya Uandishi imebidi wakuu wa Idara waruhusu lizungumzwe, Leo Asubuhi Karibu wafanyakazi wote wamezungumza kuhusu ukweli huu. Ninasikitika sana kuona watanzania wajinga kama wewe Kubisha kitu ambacho hukijui halafu unadanganya Umma kuwa Ulikuwepo Mjengoni, huu ni Unafiki wa Kijinga. Jamaa yako kafanya Tukio kweli, na Mbaya zaidi aliyekua anambeba na kuendekeza huu Ujinga wake ni boss Ruge, lakini kwa mara ya kwanza Baada ya Kikao cha Jana Kizito Kapigwa marufuku, wafanyakazi wote tumefurahi maana tulikua tumemchoka na Tabia zake hapa Ofisini utafikiri yeye ndo Boss wetu. Kiufupi aliyezuia ile Video ya Mama mwenye mtoto ni Sisi wote kama Idara, tulimuomba ufanyike Uchunguzi kwanza ili kubalance Stori kabla haijaruka. Sasa Kaka, hayo ni Machache tu, Makonda ajitokeze Akanushe halafu sisi tutaweka Ushahidi wote.
 
Habari wanabodi. Kwanza hongereni sana TLS kwa Uchaguzi sahihi na makini, bila shaka yeyote mmeweka historia.
Lengo la uzi huu ni kuweka wazi mienendo na dalili kwamba kelele zenu juu ya uwajibikaji,uwazi na utawala bora zinakwenda kupata majibu. Tuhuma juu ya Daudi Albert Bashite/Paul Makonda inakwenda kupata njia ya kuanza kumshitaki mahakamani kwa makosa mbalimbali likiwamo hili la jinai.
Nyakati kadhaa tumeona mahusiano kati ya Paul Makonda,Magufuli na Clouds Media. Na mara nyingi JPM amekuwa akitumia Clouds Media kuzungumza na Paul Makonda katika mikutano ya hadhara,na hakusita kuwapongeza wote. Juzi tu amepiga tena simu na kuongea na diamond, na kusema kwamba ni mpenzi wa kipindi cha umbeaumbea. Baada ya tukio la uvamizi wa clouds, na kutolewa kwa video footage ni wazi sasa Clouds na Makonda si marafiki tena na ukizingatia tabia ya kisasi aliyonayo. Hii unakuja baada ya ushahidi kuwekwa wazi juu ya kupora mali za watuhumiwa wa madawa ya kulevya. Nyakati zimefika.Walioonewa ni muda wao kuanza kuitafuta haki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…