RC-Mnyeti anyooshe kauli kuhusu wanaohisiwa kuwa watangaza nia kujipitisha majimboni kwa kivuli cha misaada

RC-Mnyeti anyooshe kauli kuhusu wanaohisiwa kuwa watangaza nia kujipitisha majimboni kwa kivuli cha misaada

Kichwamoto

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2019
Posts
3,403
Reaction score
4,692
Masipota/Tareirota kwenu nyote!

Wadau Kuna Clip inaonesha RC wa Mkoa wa Manyara ndugu Mnyeti akisema ni ujinga na upumbavu kuwashuku kuwa watoa misaada majimboni kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu wana harufu ya kujitakirimisha.

Hivi karibuni tumeshudia TAKUKURU wakiwa bize na wenye harufu ya kujitakirimisha majimboni na chama tawala CCM wakitoa onyo kali kuhusu fitina majimboni. Je, timing ya kauli hii haiwezi kuleta mtafaruku na kufifisha utendaji kazi wa TAKUKURU ?
 
I 754 I 8und uuuu7 I ii I 7
Masipota/Tareirota kwenu nyote!

Wadau Kuna Clip inaonesha RC wa Mkoa wa Manyara ndugu Mnyeti akisema ni ujinga na upumbavu kuwashuku kuwa watoa misaada majimboni kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu wana harufu ya kunitakirimisha.

Hivi karibuni tumeshudia TAKUKURU wakiwa bize na wenye harufu ya kunitakirimisha majimboni na chama tawala CCM wakitoa onyo kali kuhusu fitina majimboni. Je, timing ya kauli hii haiwezi kuleta mtafaruku na kufifisha utendaji kazi wa TAKUKURU ?
C6u7it it 7c6u7 the
 
Hicho ni chama cha watoto chochote ili wapate chochote hivyo lazima watete chochote kinachohusu chochote wakitoacho.
 
Back
Top Bottom