nguruka wa kig0ma
JF-Expert Member
- Jan 16, 2020
- 2,946
- 2,932
Kuna viongozi hawa wawili toka kwenye eneo hilo wamekuwa kero kubwa sana kwa wananchi wa eneo husika.
Maeneo haya mawili yapo kwenye tarafa moja na wilaya moja.
Ndg. Nchimbi ndiye mkuu wa Tarafa hiyo, lakini utawala wake ni wa fimbo ya chuma akishirikiana na polish dumila na wana CCM wa eneo hill.
Watangulizi wako, Kebwe na Saanane hata mkuu wa wilaya aliyeondoka walishindwa kung'oa kwa kumuhamisha au kumfukuza kazi, kwakuwa alikuwa anapora mashamba ya wakulima huko Mbigiri na Msowero kwa kushirikiana na mtendaji kata ya mbigiri na kuwagawia viongozi hao.
Kama haitoshi aliwakusanyia ng'ombe na fedha toka kwa wafugaji wa Kimasai I'll wafugaji wachunge mifugo yao kwenye eneo hilo ambalo idadi kubwa linatumiwa na wakulima.
Hivyo basi, hebu watafutie amani ya mioyo wananchi wako wa eneo hilo kwa kuwaondoa hawa viongozi wawili na kuwaletea viongozi wengine.
Nchi no mwiba kwenye eneo hilo.
Maeneo haya mawili yapo kwenye tarafa moja na wilaya moja.
Ndg. Nchimbi ndiye mkuu wa Tarafa hiyo, lakini utawala wake ni wa fimbo ya chuma akishirikiana na polish dumila na wana CCM wa eneo hill.
Watangulizi wako, Kebwe na Saanane hata mkuu wa wilaya aliyeondoka walishindwa kung'oa kwa kumuhamisha au kumfukuza kazi, kwakuwa alikuwa anapora mashamba ya wakulima huko Mbigiri na Msowero kwa kushirikiana na mtendaji kata ya mbigiri na kuwagawia viongozi hao.
Kama haitoshi aliwakusanyia ng'ombe na fedha toka kwa wafugaji wa Kimasai I'll wafugaji wachunge mifugo yao kwenye eneo hilo ambalo idadi kubwa linatumiwa na wakulima.
Hivyo basi, hebu watafutie amani ya mioyo wananchi wako wa eneo hilo kwa kuwaondoa hawa viongozi wawili na kuwaletea viongozi wengine.
Nchi no mwiba kwenye eneo hilo.