Ileje
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 9,524
- 13,682
Mkuu wa Mkoa wa Njombe Anthony Mtaka ameagiza Halmashauri zote mkoani Njombe kuanza kuwalipa posho Wenyeviti wa Mitaa na Vijiji kupitia mapato ya ndani.
Mtaka amesema mkoa wa Njombe hauwezi kushindwa kuwalipa Wenyeviti hao kwani halmashauri zake zinakusanya mapato kutoka katika vijiji na mitaa ambayo ndio wanayoiongoza Wenyeviti hao.
Agizo hilo limetolewa na Mkuu Mkoa Anthony Mtaka Februari 14, 2025 alipofanya Mkutano na Wenyeviti wa Vijiji na Mitaa yote mkoa wa Njombe katika Ukumbi Uliopo Ofisi ya Mkuu wa Mkoa.
Mtaka amesema mkoa wa Njombe hauwezi kushindwa kuwalipa Wenyeviti hao kwani halmashauri zake zinakusanya mapato kutoka katika vijiji na mitaa ambayo ndio wanayoiongoza Wenyeviti hao.
Agizo hilo limetolewa na Mkuu Mkoa Anthony Mtaka Februari 14, 2025 alipofanya Mkutano na Wenyeviti wa Vijiji na Mitaa yote mkoa wa Njombe katika Ukumbi Uliopo Ofisi ya Mkuu wa Mkoa.