Ajili ya October 2025 baada ya hapo ni kivumbi na jasho🏃🏃🏃 Hii inaitwa mbwa kala mbwa!
Bajeti unafata maelekezo ya Wizara ya Fedha, kama kuna commitment ya serikali katika hilo, litakubaliwa, otherwise ni kuwalaghai tu hao wahusika na pia ni siasa za kitapeli, anyway, sidhani kana bajeti bado iko ngazi ya wilaya au Mkoa, imeshapitaSasa ndiyo wakati wa kupanga bajeti kwa hiyo anataka hilo fungu liwepo!
Halmashauri zinaruhusiwa kupanga mipango yao na kutekeleza kwa kutumia makusanyo yao ya ndani. Wizara ya fedha inatoa maelekezo ya matumizi ya fedha zinazotoka fungu kuu la Taifa.Bajeti unafata maelekezo ya Wizara ya Fedha, kama kuna commitment ya serikali katika hilo, litakubaliwa, otherwise ni kuwalaghai tu hao wahusika na pia ni siasa za kitapeli, anyway, sidhani kana bajeti bado iko ngazi ya wilaya au Mkoa, imeshapita
Ataondolewa u RC mara moja huyo anataka kuitwika serkali mzigo mzito!
Ataondolewa kwa kuwatetea machawa na makada wa CCM!Ataondolewa I RC mara moja huyo!
CCM haijui kula na vipofu!Hakuna watu hawathaminiwi kama kama wenyeviti lakini likitokea tatizo wao ndio wakwaza kuulizwa. Hivi serikali kwa kuwatumia wenyevit wangeweza kukusanya kodi kubwa kwenye ardhi. leo hii ni asilimia chache ya watanzania wanalipa kodi ya ardhi. Mwenyekiti wa mtaa/kijiji au kitongoji ni Kazi ya kujitolea haina posho wala mshahara na ni lazima uwe na kazi ya kukuingizia kipato. Hilo ni moja la sharti la uenyekit