Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Mkuu wa mkoa wa Mtwara Gelasius Byakanwa, amefungua milango kwa waganga wa kienyeji na wananchi ambao wana uwezo wa kutibu maradhi yote ya mfumo wa upumuaji kufika ofisini kwake kujitambulisha ili waweze kusajiliwa kutoa huduma za matibabu kwa wagonjwa wanaosumbuliwa na maradhi hayo.
My take: Kama Taifa tumepigwa kuruhusu malimbukeni kuongoza nchi yetu.
Vyanzo: ITV, Clouds Media Twitter page
My take: Kama Taifa tumepigwa kuruhusu malimbukeni kuongoza nchi yetu.
Vyanzo: ITV, Clouds Media Twitter page