Mkuu wa mkoa wa Mtwara Gelasius Byakanwa, amesema anawataka wale wote wenye tiba za asili za pumu, kifua, mafua maumivu ya mwili na magonjwa yote yanayohusu upumuaji
Anawataka ofisini kwake ili wajitambulishe na kuonesha namna ambavyo dawa zao zinafanyakazi kwa ili wasajiliwe ili kusaidia kwa maradhi ambayo yanayoendelea kuwataabisha watu nchini
Hii itawaa fursa kujitambulisha kwa watanzania. RC amesema uwepo wa watu wa tiba za asili ni fursa ambapo inaweza ikatatua tatizo lililopo na kuacha utegemezi wa fikra kwa dawa za wazungu